Kwanini hukunicheck? Ulikuwa hujamaliza mfungo wa kuninyamazia? 😂 😂Mie na wewee tena lazima tufurahi tuchekee.. jana nilipata shida sanaa... kufanya manunuzi ya mambo yetu.. na sikununua kesho nitapo enda nakucheki unipe muongozo
View attachment 2082309
🙈🙈🙈 Jamani jamani.. naamini ulishakuta missed call zangu zaidi ya 10.. na huauku respond.. nikajue eheeeee 🙄🙄🙄🙄🙄 nimeishaKwanini hukunicheck? Ulikuwa hujamaliza mfungo wa kuninyamazia? 😂 😂
Ila fresh ... Happy new year❤
Hangamaga nzunone. Ūnamhale mpaga ūsache lino līmo gūtīlyangīlī15|01|1990-15|01|2022=?
GOD has given me another year to live, laugh, and love and that is the best thing I could receive
HAPPY BIRTHDAY TO ME
Too late. Apambane na hali yake!Mzee tafuta mdgo wake acha janja janja kumpiga sound dogo she looks very intelligent
Nilikuwa nasubiri tu simu zako hata hapa penyewe nazisubiri.. nikianza piga nitakumaliza charge 😁😁😁 na ujipange maongezi yetu zaidi ya msaa matatu 😀😀Kwanini hukunicheck? Ulikuwa hujamaliza mfungo wa kuninyamazia? 😂 😂
Ila fresh ... Happy new year❤
Sipingi... Nisamehe tu 🥺🙈🙈🙈 Jamani jamani.. naamini ulishakuta missed call zangu zaidi ya 10.. na huauku respond.. nikajue eheeeee 🙄🙄🙄🙄🙄 nimeisha
Nakujua 🤣🤣 ngoja nichaji simu..Nilikuwa nasubiri tu simu zako hata hapa penyewe nazisubiri.. nikianza piga nitakumaliza charge 😁😁😁 na ujipange maongezi yetu zaidi ya msaa matatu 😀😀
Kisukuma hakina kimadende /r/ hivyo kwenye /r/ sisi tunatwanga /l/ tu (mf. lafiki). Kikurya hakina kitambaza /l/ kwa hivyo kila penye /l/ wanaweka /r/ (mf. Kurima). Wahaya na Wakerewe wana shida kubwa na kikanushi /h/ na mchopoano wake na irabu. Kinapotakiwa wanakitoa (mf. apana), kisipotakiwa wanakiweka (mf. hafadhali).Nina rafiki zagu wawili hala wasukuma, R na L inategemea siku hiyo wameamkaje
Hahahahah kumbe mtoto Julieta huyo🤩 asante kwa ku decrypt codeMie na wewee tena lazima tufurahi tuchekee.. jana nilipata shida sanaa... kufanya manunuzi ya mambo yetu.. na sikununua kesho nitapo enda nakucheki unipe muongozo
View attachment 2082309
Hivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?Same here. Huwa naitwa sana mnyamwezi, na wengine huwa wanafikiri nina asili ya kaskazini (the way nilivyo according to their perception + meno yameoza)
Hahahahaha...Obeja sana bhageshiHangamaga nzunone. Ūnamhale mpaga ūsache lino līmo gūtīlyangīlī
Halafu kobaga ganīkī gape galipu gidakwitale ūtole. Īmyaka yaselemaga nkoi.
Pekeyangu yaani nilionaHivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?
Gatolage lūlū nkoyi ūbize na kaya yakoHahahahaha...Obeja sana bhageshi
Aganike galohoi
Yaani niende Dom nikae nusu siku?Nilikuambia jana uje chap.. leo tugerudi wote
pasta Myamba😅Unajua mie mzee wa kanisa, kesho lazima niwepo 😀😀😀.. nikitoka inadani shwaa dodoma..
Kumbe hata kwako kutakuwa na Ada ya Feza Schools pamoja na Kiwanja?Eeeeh umeusindikiza na hela ya kiwanja au ada?