

Hivi ni Saint Anne peke yake ndiye alibahatisha picha za Mama Mchungaji siku ile? Hata kama alificha sura shepu itakuwa ilionekana tu. Aliyezipata si angalau aweke dodoso kidogo ili tupate picha (japo hafifu tu) ya hii miksa ya Mnyamwezi na Mkaskazini?![]()



Ikijaa tu, hewanimm na bora uanze kupiga, maana nikipiga isipo pokelewa.. huo wivu wake utaniua
![]()
Basi zisiwe nyingi hadi kunifanya niongee peke yangu njiani 😂😂🙈🏃🏃🏃🏃Huku kwingine upeleke miamala, kwangu uje na maneno tu tena sio hata maneno ya Injili akhuuu![]()
Pekeyangu yaani niliona


Basi zisiwe nyingi hadi kunifanya niongee peke yangu njiani![]()
Kisukuma hakina kimadende /r/ hivyo kwenye /r/ sisi tunatwanga /l/ tu (mf. lafiki). Kikurya hakina kitambaza /l/ kwa hivyo kila penye /l/ wanaweka /r/ (mf. Kurima). Wahaya na Wakerewe wana shida kubwa na kikanushi /h/ na mchopoano wake na irabu. Kinapotakiwa wanakitoa (mf. apana), kisipotakiwa wanakiweka (mf. hafadhali).
Mwingiliano huu wa sifa za lugha ya mama kwenda lugha ya pili ni jambo la kawaida ndiyo maana ni vigumu kweli kweli kwa mtu mzima kujifunza lugha ngeni na kuweza kuiongea kama wazawa wa lugha hiyo. Kama siyo matamshi basi toni, intonation, stress na vitu vingine vitamuumbua tu!
Hayo Sasa maneno, nipe ratiba yako ya kuchangia vikoba nikulipie za Mwaka Mzima 😂😂Eeh ntakuwa na huruma kiasi![]()
Wanyaki mbona zamanai hatari sana, wanajua kupenda na ni waaminifu.. unakuwa huna mashaka kabisa ya kupigiwaaa![]()
Akhsante sana dada yangu
AMINA ubarikiwe mpendwa
Nimekumbuka kweli kuna kitu nilikuahidi sikukitekeleza
Nisamehe bure nilisahau
Muda kidogo nafanya mambo![]()


Hayo Sasa maneno, nipe ratiba yako ya kuchangia vikoba nikulipie za Mwaka Mzima![]()
Nipe namba ya Kijumbe nimtumie ya Januari kama ulivyoniagiza . Ombi lako kwangu ni amri😂🏃🏃Mwezi huu laki 2 kwanza, mengine tutaendelea kujulishana![]()
Nipe namba ya Kijumbe nimtumie ya Januari kama ulivyoniagiza . Ombi lako kwangu ni amri![]()
Yah! 100%. Wanawake haswaa na hata ukiwa nae huwezi fail maisha kama mwanaume anakuwa na nidhamu, sema wana dharau flani 😀😀😀.. nilikuwaga na mmoja alinisaidia sana, sema alifariki ningekuwa mbali sana ningekuwa na yule dada.. kwanza wanapenda Mungu kikweli kweliNafanyia lamination hii comment. Kelele moja kwa wanyaki wake
Gairo sehemu gani mama Pastor.. umeanza sema uongo 😀😀Moro to Gairo.![]()
Nililala tangu Jana asubuhi now ndy naamka..Kumbe nilikuita mkuu?Abeeeee


Yah! 100%. Wanawake haswaa na hata ukiwa nae huwezi fail maisha kama mwanaume anakuwa na nidhamu, sema wana dharau flani.. nilikuwaga na mmoja alinisaidia sana, sema alifariki ningekuwa mbali sana ningekuwa na yule dada.. kwanza wanapenda Mungu kikweli kweli
Gairo sehemu gani mama Pastor.. umeanza sema uongo![]()
Nililala tangu Jana asubuhi now ndy naamka..Kumbe nilikuita mkuu?
Numekumbuka,nilikuwa nataka selfie yako,hata bega Tu nikiona nitaridhika mkuuEeh ndiwoooo