T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Teh!! Depal bhanaKumbe umezaliwa January?? Kwanini hukunisubiri tukuwe mapacha
Happiest birthday swiitatooo
Akhsante sana mpendwa ubarikiwe
Ukimya wako una maana gani kwa mfano?
Teh!! Depal bhanaKumbe umezaliwa January?? Kwanini hukunisubiri tukuwe mapacha
Happiest birthday swiitatooo
Kumbe mlishafika kwa wanyaturu??? Saivi mpo kwa wawapi??😳 Ukifika zamu ya wanyaki naomba nitag🤨🙃🙃🙃..nipo bize naangalia matokeo yaform 2 na 4 huku asee! Usiache kunitag🤣🤣😂Sema wanyaturu ni 😋😋😋
Mkuu mbona tunapisha kizembe asee.. naondoka kuelekea Mjini daah 🙄🙄View attachment 2082079Roaming around Capital City
🤣🤣🤣 madeko tena aisee na hii sauti ya nne jamani 😍 😍😍😍 Sauti + Sauti.. uzuri hauboi kwenye mastroy.. nime miss madeko yako na kale ka tone 🙈🙈
Hahahaha.....Sawa mkuu ngoja tusubiriemkuu humu mm wala sipati tabu,najua wataweka tu wenyewe muda ukifika,hahahaha
Dah noma kweli yani watu wangu wengi tunapishana😅 tmrw mi ndio naingia Town.Mkuu mbona tunapisha kizembe asee.. naondoka kuelekea Mjini daah 🙄🙄
Kwa vidole hivo kaka mzuri anafaidi
Wanyaki mbona zamanai hatari sana, wanajua kupenda na ni waaminifu.. unakuwa huna mashaka kabisa ya kupigiwaaa 😀😀😀Kumbe mlishafika kwa wanyaturu??? Saivi mpo kwa wawapi??😳 Ukifika zamu ya wanyaki naomba nitag🤨🙃🙃🙃..nipo bize naangalia matokeo yaform 2 na 4 huku asee! Usiache kunitag🤣🤣😂
dah! Naenda tu kanisani, baada ya ibada kesho narudi dodoma 😀😀Dah noma kweli yani watu wangu wengi tunapishana😅 tmrw mi ndio naingia Town.
😋😋.. Unadekaa jamanii na ka sauti kakitooo lol mie hoiii🤣🤣🤣 madeko tena aisee na hii sauti ya nne jamani 😍 😍
Mjapana kama mjapan 😀😀
Nilikuambia jana uje chap.. leo tugerudi wote 🙄🙄🙄Nimepamiss Dodoma jamani.
Hiyo mitaa nilikuwa naipenda mno.
Eeh kuendana na hali ya uchumi mjapani lazma ahusike, full tank moja tu!Mjapana kama mjapan 😀😀
Ungesepa kesho tungedondoka woteNilikuambia jana uje chap.. leo tugerudi wote 🙄🙄🙄
Kama kawaaa 😀😀Eeh kuendana na hali ya uchumi mjapani lazma ahusike, full tank moja tu!
Wazee wa ma V8 wanakoma😆
Wee dada mzuri kuna jambo ni lazima tuongee 😂Kwa vidole hivo kaka mzuri anafaidi
Unajua mie mzee wa kanisa, kesho lazima niwepo 😀😀😀.. nikitoka inadani shwaa dodoma..Ungesepa J3 tungeosha wote
🤣🤣🤣 usinichekeshe HM😋😋.. Unadekaa jamanii na ka sauti kakitooo lol mie hoiii
Napendaga unavyocheka 😂
Mie na wewee tena lazima tufurahi tuchekee.. jana nilipata shida sanaa... kufanya manunuzi ya mambo yetu.. na sikununua kesho nitapo enda nakucheki unipe muongozo🤣🤣🤣 usinichekeshe HM