Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ila wakurya na hasira ni pete na kidole
Wake kwa waume wakogo hvyo ila ukikuta mdada wa muraa kasomaa anakua anajiamini balaaa!hayumbishwi!
Wanapiga hao watu nimeishi nao maeneo wee wako mjini ila km wako Tarime aseeh!
Enzi hizo alitokeaga jamaa wa kikurya very nice guy kimuonekano n.k sasa kabla sijaanza mahusiano nikamuuliza unapigaga wanawake au unazungumiza vipi kupigwa,alinijibu mi nabutua tu ukinichanganya,nilivotoka pale niliblock kila sehemu nkasema huu msala huu!ataniua huyuu!mwanaume abusive miye sijawahi kupigwa vya kihasirahasira hvyoo!!!hakuamini!hao watu ukikuta mstaarabu sio mpigaji ,shukuru Mungu
 
.. eeeh inakuwa sio kazi ndogo kabisaa..
Ndio kwakua ile kiungo ipo sensitive sana katika tendo na ina hisia Kali sana..sasa inapoondolewa lazima ilete migogoro katika family as kitu hakipo so ule msisimko unakosekana tekenya tekenya nawewe chezea chezea nawewe holaaa.. ndio mwanaume anaenda kuhangaika huko nje ambapo ina result mbaya sana ikiwemo psychological effect kwa mwanamke.
 
Ndio kwakua ile kiungo ipo sensitive sana katika tendo na ina hisia Kali sana..sasa inapoondolewa lazima ilete migogoro katika family as kitu hakipo so ule msisimko unakosekana tekenya tekenya nawewe chezea chezea nawewe holaaa.. ndio mwanaume anaenda kuhangaika huko nje ambapo ina result mbaya sana ikiwemo psychological effect kwa mwanamke.
Inasikitisha sanaaa 🥺🥺🥺
 
Wake kwa waume wakogo hvyo ila ukikuta mdada wa muraa kasomaa anakua anajiamini balaaa!hayumbishwi!
Wanapiga hao watu nimeishi nao maeneo wee wako mjini ila km wako Tarime aseeh!
Enzi hizo alitokeaga jamaa wa kikurya very nice guy kimuonekano n.k sasa kabla sijaanza mahusiano nikamuuliza unapigaga wanawake au unazungumiza vipi kupigwa,alinijibu mi nabutua tu ukinichanganya,nilivotoka pale niliblock kila sehemu nkasema huu msala huu!ataniua huyuu!mwanaume abusive miye sijawahi kupigwa vya kihasirahasira hvyoo!!!hakuamini!hao watu ukikuta mstaarabu sio mpigaji ,shukuru Mungu
! Pia baadhi wana roho mbaya fulani ya kikatili by nature!
 
Wake kwa waume wakogo hvyo ila ukikuta mdada wa muraa kasomaa anakua anajiamini balaaa!hayumbishwi!
Wanapiga hao watu nimeishi nao maeneo wee wako mjini ila km wako Tarime aseeh!
Enzi hizo alitokeaga jamaa wa kikurya very nice guy kimuonekano n.k sasa kabla sijaanza mahusiano nikamuuliza unapigaga wanawake au unazungumiza vipi kupigwa,alinijibu mi nabutua tu ukinichanganya,nilivotoka pale niliblock kila sehemu nkasema huu msala huu!ataniua huyuu!mwanaume abusive miye sijawahi kupigwa vya kihasirahasira hvyoo!!!hakuamini!hao watu ukikuta mstaarabu sio mpigaji ,shukuru Mungu
Eti nabutua tu ukinichanganya.

Kuna kadada fulani kalikuwa kamwalimu ka uimbaji kanisani asee kalikuwa kanatupeleka moto na zile hasira.
Sijawahi ona mtu ana hasira za ajabu namna ile!
 
Eti nabutua tu ukinichanganya.

Kuna kadada fulani kalikuwa kamwalimu ka uimbaji kanisani asee kalikuwa kanatupeleka moto na ze hasira.
Sijawahi ona mtu ana hasira za ajabu namna ile!
acha kabisa dogo vile nilivyo ukinipga si unazidi kuniharibu na masura personal hayaa,wanaume wakipiga wanakimbiliaga kupiga usoni!nilitoka ndukiii!toka hapo mkurya no!kwa kweli!
Ila wapo wastaarabu japo wa kusample!
Mimi sijawahi pigwa na mwanaume maisha yangu yote,baba mwenyewe kupiga alikua hajui,yaani siku ukipigwa basi umevuka mipaka,Mimi nilikua naishi na terms and conditions zake so kupigwa sijakupata zaidi ya kurushiwa jagi leo na uzee huu tupigane!hapana kupigwa noo!nikiskia mwanamke anapigwa nashangaaaga sana!
 
Back
Top Bottom