Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ila wakurya na hasira ni pete na kidole🙈🏃♀️Hahaaa!sijui kwa nini wanahisi wote wamekeketwa ,ilinitokea Mi nilimpelekaga baba hospital siku moja ,Dk akaniuliza kabila nilivomtajia kabila langu alikataaa mpk akaenda muuliza baba!!!
Alishangaa sana yule Dokta!








.
!
