Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Kitambi sioooo... Kinaharibu umbo la mwili...!!!Nimependa ndio nimesema wakuache..
Kitambi sioooo... Kinaharibu umbo la mwili...!!!Nimependa ndio nimesema wakuache..
Huyu ni shoga yako kumbe??
Mwambie Leo umechati nini na Relief?? Mtu huyu bhanaa
naomba mapigo ya moyo yatulie kabla ya saa moja jioni, kumbe kukuta picha zimefutwa kuna faida yake kuvamia yasiyonihusu kunanikost leo hakyanani..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤗🤗


mkuu 9.8ms squared on a serious note naomba muongozo kama unavyonipa kuhusu RM napata wapi mwanamke wa kiafrika yaani kuku wa kienyeji kama huyo hapo kwenye nguo ya kitenge!? yaani ntalipa mahari wiki hii hii dah..
Si upambane kutafuta mwenyewe mkuu kwanini umchoshe mwenzio 🤣🤣😜!!mkuu 9.8ms squared on a serious note naomba muongozo kama unavyonipa kuhusu RM napata wapi mwanamke wa kiafrika yaani kuku wa kienyeji kama huyo hapo kwenye nguo ya kitenge!? yaani ntalipa mahari wiki hii hii dah..
sasa jamani nafungiwa milango kila sehemu hivi ni ubinadamu kweli!?..Si upambane kutafuta mwenyewe mkuu kwanini umchoshe mwenzio 🤣🤣😜!!
dada mkuu naomba unisaidie kwa hilo ntauwawa hata chumvi kijiko cha chakula bado sijala..
Tuyaache tu. Tutayaendeleza siku zijazo (kama zipo)Ndiyooo
Amefanyaje jamani?
Hahaah kufa hufi, chamoto utakionadada mkuu naomba unisaidie kwa hilo ntauwawa hata chumvi kijiko cha chakula bado sijala..
😭😭😭😭 mmenitengaaa nawaona mtu na mdogo wake
Komaaa mpaka kieleweke!! Wewe mwanaume banasasa jamani nafungiwa milango kila sehemu hivi ni ubinadamu kweli!?..
Pendael24 ana center ya gym ukiwa dar niwe nakupitia jioni twaenda ☺️☺️Kitambi sioooo... Kinaharibu umbo la mwili...!!!
na kuchekwa tena kweli siku ya kufa nyani anakabwa na tunda..Hahaah kufa hufi, chamoto utakiona
😒😒😒😒 mie mwenye sina mkuu napambana na hali yanguu.. huoni hata PM zao wote zimefungwaaaamkuu 9.8ms squared on a serious note naomba muongozo kama unavyonipa kuhusu RM napata wapi mwanamke wa kiafrika yaani kuku wa kienyeji kama huyo hapo kwenye nguo ya kitenge!? yaani ntalipa mahari wiki hii hii dah..
haya nifungulie nikomae huko unataka mtu aige mbinu zangu ili nini kitokee..Komaaa mpaka kieleweke!! Wewe mwanaume bana
🤣🤣🙃🙃🙃😒😒😒😒 mie mwenye sina mkuu napambana na hali yanguu.. huoni hata PM zao wote zimefungwaaaa
yaani nilikuwa sijawahi kumuona huyu mahondaw au ndo ile ile tamaa ya FX inanirudia kinyume nyume!?..😒😒😒😒 mie mwenye sina mkuu napambana na hali yanguu.. huoni hata PM zao wote zimefungwaaaa