Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ama kweli wewe umeshikwaaa unalipa hadi ada .. Mie majuzi nimekutana na mdada tuliachana miaka mingi, ananiambia ana mtoto wangu ana miaka mitano sahii.. kidogo nijikwae.. nikamuambia mbona mie mgumba jamani .. akaamini akajizingusha akaja sema alikuwa ananitania na baada ya kuanza muelezea majangaaa yangu na hali ya ugumba.. nika win
Wewe ni mwehu kumbe?

Kisa cha kujikwaa sasa? Pokeeni tu watoto bana, si mlipanda mbegu?
 
Mwaya lia tu. Haikupunguzii uanaume wako. Just express yaself
ndo utanipenda!? kwanini unataka kunisingizia eti nilikuwa na ID ya zamani ili ugundue nini kwenye huu upendo mpya unaonipata hapa..
please usiselfike tena kama imeshindikana kunifungulia mlango walau nije nililie huko huoni naaibika hapa!?....halafu ni nani aliewaongopea wanawake eti mwanaume kulia ni jambo la aibu, utaskia ohhh gentlemen ni mwanaume mweusi mgumu ana mikono ya kukwaruza na bla bla nyingine yaani sasa nadeclear interest hapa naskia machozi yananilenga lenga kama picha ya yule paka anaezunguka mtandaoni dah!..
 
😀😀😀 Michepuko ikujue huna hela huna pa kuishi kwisha habari yako.. hutopoeka simu wala sms.. na inakuwa inakukwepa hatariii... ukweli nashukuru sina kizinga hata kimoja 😂😂😂😂😂.. hela yangu ni hela yangu na mama yangu..

Saving muhimu sana kaka, hatujui kesho na kesho kutwa ikoje
Ni kweli Mkuu, huyu mmoja yeye Ada, mwingine anaomba nimnunulie Kiwanja mahali.

Sasa huyu wa kiwanja ngoja ninunue ila hati itabaki yenye jina langu 🏃🏃🏃
 
Wewe ni mwehu kumbe?

Kisa cha kujikwaa sasa? Pokeeni tu watoto bana, si mlipanda mbegu?
Cheti cha ugumba ninacho kabisaaa 😀😀😀😀.. maana nilivyomueleza na kumuambia sina hata pa kuishi kaa kwa jamaaa tu kwenye hostel mbona alinyoosha maelezo sio wangu alafu hata akutaka tuendelee na story 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom