HS unanicheka🤣🤣🤣😍😍😍😍
🤣🤣Askari wetu sio wa kuwaamini wana mood zao.. wachache sana wana maadili na hofu.. ila wengine kukuchakaza ni dk 0 tu
Dada mmi au mwingine?![]()
HS unanicheka
Nipo juuu
Bado tu kumwambia sasa aniwekee tags zangu special
Na mtakoma😂😂😂Hadi nimemkumbuka Chakorii. Endelea kudeka toto njuri
MweeeeKwamba umejisahau?
NtakukomeshaNa mtakoma
Ulastborn wangu hauishii nyumbani tu,nasumbua kila mahala![]()

Mweeee
Mtumishi unanipiga kamba mchana kweupekwa sauti gani jamani??au kuna nyingine?
![]()
Duuuh..... HongeraKaribuni kiporo cha wali ndondo!View attachment 2079075
Very true mkuu!wakati mwingine hizi dini zinatufunga tusifikirie nje ya kile wanachotuaminisha. Ukifikiria nje kidogo utaambiwa unakufuruIla kweli aisee, binafsi nilikua mlokole haswa tena haswa, ila ukitoka nje ya box kimawazo inagundua mengi sana na kupelekea kujiona mjinga hivi!

Mkuu 9.8ms squared unashuka na GJ pips 200. Umeziba lot size kwa Nini, achia vitu bwana.donlucchese... tunapita na upepo japo small smallView attachment 2079507
😁😁😁😁 nashuka nayo hiyo sitoki wala nini mkuu.. na sijaweka hata SL kama hata wakasema wafanye manipulation hawanitoiMkuu 9.8ms squared unashuka na GJ pips 200.
Sio kweli, mbona wengine walokole damu damu.. ila maisha yanaenda na tupo nje ya box.. issue sio ulokole ni matatizo ya mtu binafsi.. yani huenda huyo mtu bado angekuwa kimeo... hata kama angekuwa hajaokokaVery true mkuu!wakati mwingine hizi dini zinatufunga tusifikirie nje ya kile wanachotuaminisha. Ukifikiria nje kidogo utaambiwa unakufuru![]()
St Anne ni wa kupuuzwa tu.
Maneno yake hayana maana.
Piga sana vyombo mkuu.



Mimi?😂😂Ntakukomesha
Yesuuuuu😂😂😂😂😂Hiyohiyo chaaaaa. Ukiingia studio tunakuforget mbona![]()
Naomba Location Mdogo wangu...Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.
Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.
Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.![]()

Makiwendo anaishi Mkoani weweMie kaka jamaniii...
Daaaah! Nimekosa fursa hiyo.. nimewahi Dar es Salaam aseee.. kumbe Makiwendo hayupo Dar, na leo aliniambia anikute kwenye maeneo yake

😁😁😁 sikuwezi wewe.. uzuri nimejikuta sasa hivi napigwa dana dana na warembo wa jf kuonana nao, huku na mie nimeapa kutokutana na member yoyote wa jf nje ya jukwaani 😂😂😂tunaanzia hapa tunaishia hapa