Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1642076261063.jpg
 
Very true mkuu!wakati mwingine hizi dini zinatufunga tusifikirie nje ya kile wanachotuaminisha. Ukifikiria nje kidogo utaambiwa unakufuru
Sio kweli, mbona wengine walokole damu damu.. ila maisha yanaenda na tupo nje ya box.. issue sio ulokole ni matatizo ya mtu binafsi.. yani huenda huyo mtu bado angekuwa kimeo... hata kama angekuwa hajaokoka

1 Wakorintho 6:12
Vitu vyote ni halali kwangu, lakini si vyote vifaavyo; vitu vyote ni halali kwangu, lakini mimi sitatiwa chini ya uwezo wa kitu cho chote.
 
Back
Top Bottom