Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Unanisingizia tu 😒😒😒😒
Unanisingizia tu 😒😒😒😒
Njema sana! Mu hali gani huko??habari mkuu
Umeona eeeh! na siku ile umeniweka mlimani kumbe upo zako na T 1990 ELY .. daaaaah!!! mnakula sato majirani eeh![]()








Kuna sura huwa wanaangalia, ni ngumu kumfuata kila mtuSafi sanaa, ndio dawa yao hao jamaa.. wanakosa sana maadili ya kazi zao
we jamaa unafanya huu msala!? tena GBPJPY noma sana..donlucchese... tunapita na upepo japo small smallView attachment 2079507
eeeh! akupambanie aseee.. anatia huruma mwaume mwenzetu, kafa kaoza kwako.. huku PM kila saa saa ananiambia nielezee hisia zake kwako.. anahisi akikuambia utaona kama anakuvunjia heshima.. ila ndio ivyo kafaa sanaa.. inabidi umfufue asee☺️☺️Hallooo!!? halooooohh !!!ongeza sautiii sikusikiii🤣🤣🤣! Pendael24 habari za kutwa??
Kwani kinini hiko ??? Mi meona graph graph tu!!🙄we jamaa unafanya huu msala!? tena GBPJPY noma sana..
af usitutishe weka lot tembo tukuone kiwango cha uvumilivu tupia 1.0 lot na hivi GBPJPY pips zake ni za tofauti..
Risk Management muhimu.. sishindani na mtu kutengeza pesa au kupoteza.. nimetumia sana standard lot.. nikaonaga upuuzi.. haina maana kwakua una balance upoteze pesaa.. lazima kuwa mchungu kwenye kupoteza.. 😂😂😂😂we jamaa unafanya huu msala!? tena GBPJPY noma sana..
af usitutishe weka lot tembo tukuone kiwango cha uvumilivu tupia 1.0 lot na hivi GBPJPY pips zake ni za tofauti..
Umeanza lini ushenga lakini!!😳???eeeh! akupambanie aseee.. anatia huruma mwaume mwenzetu, kafa kaoza kwako.. huku PM kila saa saa ananiambia nielezee hisia zake kwako.. anahisi akikuambia utaona kama anakuvunjia heshima.. ila ndio ivyo kafaa sanaa.. inabidi umfufue asee☺️☺️
mcheki Pendael24 atakufundisha, mie ndio alinielekezaga.. yupo powa sana jamaaaKwani kinini hiko ??? Mi meona graph graph tu!!🙄
Safi sana.. hii kiatu safi sana kwa kunyaga mafutaaa..Muda wa kufukuza upepo
View attachment 2079586
Dah! Wapuuzi sana, wanfanya mambo mabaya sana kwa watu wasio na pa kukimbiloaKuna sura huwa wanaangalia, ni ngumu kumfuata kila mtu
😊😊😊.. serious, sio na connect ni kweli jamaa muungwana sana, hana makuu.. sio kwasababu kafa kwako.. ila ndio alivyo chekianeni mpeane madini 😁😁
tatizo nikiwaita mnisalimie PM walau niweke rekodi sawa hamtaki sasa ntakuelezaje hapa selfika!? si ntabanniwa!?..Kwani kinini hiko ??? Mi meona graph graph tu!!🙄
hata yesu aje aniambie live usiku wa manane huko sirudi aisee..Risk Management muhimu.. sishindani na mtu kutengeza pesa au kupoteza.. nimetumia sana standard lot.. nikaonaga upuuzi.. haina maana kwakua una balance upoteze pesaa.. lazima kuwa mchungu kwenye kupoteza.. 😂😂😂😂
Key ni RM.. ukikosana na RM fx ni lazima ikutoe mchezoni..hata yesu aje aniambie live usiku wa manane huko sirudi aisee..