Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kihonda kiegea, hii ni 2005
FB_IMG_16417137923313466.jpg
 
Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii. [emoji846][emoji846]

Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana. [emoji120][emoji120]

Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku. [emoji3064][emoji3064]
 
Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii. [emoji846][emoji846]

Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana. [emoji120][emoji120]

Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku. [emoji3064][emoji3064]
mimi nikuone
 
Unafikiri sikuoni ama?
We mzee Shimba Ya Buyenze tulia kwanza! Kwani hujui kama mjukuu wako mawardat amenizimia kinoma? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Ikiwezekana nataka nifanye mathna yeye na rukia16 wote kwa pamoja! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Then habiby mawardat hebu mwambie ukweli babu yako maana haishi kuniandama kama nimekuiba!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Back
Top Bottom