Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Nimeishi hapo kwa muda ,sehemu tulivu sana
Nimeishi hapo kwa muda ,sehemu tulivu sana
Yaani ni patulivu mno.Nimeishi hapo kwa muda ,sehemu tulivu sana
Nakuja....![]()

Dodoma pia ilipo stend mpya na ndio zinaenda hizo daladala.Hivi kuna mkoa mwingine wenye nane nane zaidi ya Morogoro?
Mmh hivi kuna watu humu wana picha zako full eh? Ngoja niwatafute asee hao wanaweza kuwa na msaada kwangu!Mfanye tu kunistiri dada yenu; wananzengo wasije wakaleta picha zangu full humu, nikajikuta nina-leave








Hehe kweli nyani haoni kunduleSi haijawahi kujukikana huwa mnapenda nini haswa au ninini haswa mnataka.


mimi nikuoneKaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.
Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.
Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.![]()
Ipo Mbeya, Dodoma Nk.Hivi kuna mkoa mwingine wenye nane nane zaidi ya Morogoro?
We mzee Shimba Ya Buyenze tulia kwanza! Kwani hujui kama mjukuu wako mawardat amenizimia kinoma?Unafikiri sikuoni ama?





















Bingwa au Bigwa??Maeneo fulani karibu na bingwa View attachment 2074464