Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220109_092756_386.jpg

Karibuni chai ya wanyonge!!
 
We mzee Shimba Ya Buyenze tulia kwanza! Kwani hujui kama mjukuu wako mawardat amenizimia kinoma?
Ikiwezekana nataka nifanye mathna yeye na rukia16 wote kwa pamoja!
Then habiby mawardat hebu mwambie ukweli babu yako maana haishi kuniandama kama nimekuiba!!


Mjukuu ya kweli haya?

Nikipata jibu lako ndo nitapata mbinu mpya za kupambana na huyu fox mharibifu huyu
 
Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.

Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.

Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.
Mie kaka jamaniii 🙄🙄🙄🙄...
Daaaah! Nimekosa fursa hiyo.. nimewahi Dar es Salaam aseee.. kumbe Makiwendo hayupo Dar, na leo aliniambia anikute kwenye maeneo yake
 
Back
Top Bottom