Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Mkuu hapo unatoka na kama M kubwa ngapi??
Mkuu hapo unatoka na kama M kubwa ngapi??
ununioWewe uko kwa wapi mkuu![]()
We mzee Shimba Ya Buyenze tulia kwanza! Kwani hujui kama mjukuu wako mawardat amenizimia kinoma?
Ikiwezekana nataka nifanye mathna yeye na rukia16 wote kwa pamoja!
Then habiby mawardat hebu mwambie ukweli babu yako maana haishi kuniandama kama nimekuiba!!
![]()




hahaha acha kujiuliza uliza kaa kwa kutulia..Shukrani yanini mkuu ???? Halafu huu uhuru mods waliotupa dah.... Ulikua unatumia Id gani mkuu lakini?? Tangu juzi najiuliza huyu naniii????🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Mie kaka jamaniii 🙄🙄🙄🙄...Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.
Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.
Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.![]()
Njia mbaya zipi mkuu 😁😁😁Mtuombee tuache njia mbaya
Kama hivyo ulivyoitwa kakaNjia mbaya zipi mkuu![]()
We mzee Shimba Ya Buyenze tulia kwanza! Kwani hujui kama mjukuu wako mawardat amenizimia kinoma?
Ikiwezekana nataka nifanye mathna yeye na rukia16 wote kwa pamoja!
Then habiby mawardat hebu mwambie ukweli babu yako maana haishi kuniandama kama nimekuiba!!
![]()
jana nilikuambiaje,nimetoroka,huyu mzee ni mkaliii sanaFanya hata mbili Pm basi bibie..unabahati mbaya
![]()
Fanya hata mbili Pm basi bibie..

😁😁😁 Mie binadamu sio kaka ndio maana nimeshangaaa mkuuKama hivyo ulivyoitwa kaka
Halafu unakataa
AsanteUfunuo Wake Yohana
AmenBe thankful for what you have and you will end up having more, if you concentrate on what you don't have, you will never ever have enough. --ERoni.
Happy Sunday wote!