Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Weka funguo itafungukaMbona haifunguki pichaaa 😩😩😩
Weka funguo itafungukaMbona haifunguki pichaaa 😩😩😩
😀😀😀😀... Ohoooo.. umeona majibu yako eeehWeka funguo itafunguka
Mimi ni mpendwaBrod darling; mimi mahusiano ya kuishi kimachale yalishanishida; wakinigeuka basi ntayapokeaga hukohuko mbeleni. In the meantime; nimeamua kumwamini Mungu kwa ajili yao.
Unawajua wapendwa vizuri?


so najua nachoongea!Pole inaonekana umeumizwa sana.ngoja niishi kimachale kama sungura 😆😆Wanaotuumiza ni wale tunaowaamini sana, huwezi kumwamini mtu kama hujamfanya kuwa rafiki. Unamwamini hadi kumkopesha milioni kadhaa na kuamini zitarudi...au unampa na kusahau kama ulimpa 500k atatue mambo yake.
Tatizo ni pale unamfanya mtu kuwa so close, anapata majanga unaona aaah huyu si mtu muhimu sana kwangu, ngoja nimpe hata 2m atarudisha, weeeee....majibu unayo!
Pesa inaweza isiwe issue, snitching kwangu ni issue kubwa. Unaishi na rafiki kunguni, anachukua hili anapeleka kule analeta huku anavuruga tu, siku ukijua it's late. Choose your friends with care aisee!!
Daaah, tuletee hata moja tuuNimeselfika ..mkuuwewe hujawahi hata kuselfie hata mti tu hujawahi.. ..Asali hio tabora hapo!!
View attachment 2077402
Boss Lady herselfNishatoka mwanza. Mkuu T 1990 ELY alinikarimu vizuri sana. Namshukuru sana Na hapa nilikua nimejipumzisha baada yakuvimbiwa chakulaView attachment 2077350




Teh teh! ELY kakupa chakula gani hadi kuvimbiwa?Nishatoka mwanza. Mkuu T 1990 ELY alinikarimu vizuri sana. Namshukuru sana Na hapa nilikua nimejipumzisha baada yakuvimbiwa chakulaView attachment 2077350
Le doktare SYB !!!Hello 🤚Boss Lady herself![]()
Nilikula Sato na mazaga mengine kibao hadi nikavimbiwaa hahaa nilishiba haswaa na safari yangu ya kuja katavi ikawa burudani kabisa..Teh teh! ELY kakupa chakula gani hadi kuvimbiwa?
Sijambo mkuu! Karibu sana Selfika..Jambo 😍
safi sanaNilikula Sato na mazaga mengine kibao hadi nikavimbiwaa hahaa nilishiba haswaa
Asante Boss, nimekaribia na nimebariki na picha zangu kadhaa. Usogee sogee na dodomaSijambo mkuu! Karibu sana Selfika..
Shusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.
Hizo za wabana pua huwa siangalii![]()




Next week ntapita hapo! Ntakustua bosi mkubwa mkubwa sana!Asante Boss, nimekaribia na nimebariki na picha zangu kadhaa. Usogee sogee na dodoma
Pole na safari ...Le doktare SYB !!!Hello![]()