Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi naangalia tv kama extra tu.nikikaa kwenye tv basi nacheki bolu.....
Hahaha!Weeeeeeeehhhh.. yangu.
Hahahaa hutak tena hip hopNaupenda ule wimbo wake wa sawale
Jamaa huu wimbo aliua![]()
Shusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.Najaribu kumsaidiaa asiumize kichwa mida hii na hip hop vitu smooth vinavy9tekenya moyo

Ehhhh! Ndo miziki gani hio sasa!!Taratibuuuùuu bhasiiiiiii....nakunongonezaa...miziki ya kuongea na mioyo sio na medulla oblangata

Unataka kuninyima nini?Ya kwakee![]()
Hujauonaaa pale juu...ngoja niutafute tenaEhhhh! Ndo miziki gani hio sasa!!![]()
Ebu tumuulize vizuri Saint AnneSema s.A huwa anadai picha sjui anazifanyia nini
Jizazi!Naupenda ule wimbo wake wa sawale
Jamaa huu wimbo aliua![]()



Nini hiki lee


Hahahahah mimi nazungumzia mida hiiShusha nondo za prof j hapa na Mangwair tutaongea lugha moja.
Hizo za wabana pua huwa siangalii![]()
Wimbo wa mr flavour mzuri usikilizeeJizazi!Nini hiki lee
![]()
Nataka hiphopHahahaa hutak tena hip hop

Yake hapana! Uliona ule upaja alotuma juzi lakini??Hahaha!
Sitaki yako,nataka yake.

!! Upaja upajaaa!
Usikilizee tenaNataka hiphop
Ila huo nilioutaja ulitikisa sana kqwnye sherehe ,,,na hauboi kuusikiliza.