Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mwee😔😔😔 Sikuwepo tu.. na hata hivi kesho naondoka tenaaa nilikuja leo tu
Mwee😔😔😔 Sikuwepo tu.. na hata hivi kesho naondoka tenaaa nilikuja leo tu
Sawa tu,kama Mungu amepanga;nani wa kuzuia??Kwa mfano ndio imetokea ndie ulie chaguliwa awe wako utafanyaje na hali huko hivyo.
Mmh hivi kuna watu humu wana picha zako full eh? Ngoja niwatafute asee hao wanaweza kuwa na msaada kwangu!![]()
Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.
Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.
Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.![]()
St Anne.
Najua ulivyo na wivu Pep utasema nimevaa mbogambogaView attachment 2074673
View attachment 2074679
😍🤗🤗Eti mbogamboga, ngoja nikutumie mbogamboga zangu za leo
ok,Kila la kheri mkuu.
Mimi nimetoka bhana
Bado nipo pm nang'atwa tu na mbu.
HahahahahahahaBado nipo pm nang'atwa tu na mbu.
Nasubiri
Sema "daddy ERoni nikija shamba tuonane basi" (shamba ya milimani)Kaka 9.8ms squared kama bado uko Dodoma kesho tuonane basi. Kesho ni serious kabisa sikutanii.
Dada Heaven Sent kama upo na ukiwiwa naomba nikuone Morogoro nikiwa narudi Dar. Nitashukuru sana.
Dada Makiwendo na wewe ukija Dar ukipata muda naomba tuonane tafadhali. Maana siyo kwa kukumiss huku.![]()
Wewe ndio nimekuona hapo Kimara mwisho?
Umemuona huyu kimbaombao?Wewe ndio nimekuona hapo Kimara mwisho?

Nipo tayariAu navizia ukitoka online ndiyo ntaipost, ili ikikupita na wewe leo, tukusimange

Nipo tayari
Ila najua sitapitwa.
Poa binamu 😂😂😂😂Khaa eti fursa. Haina noma mkuu tutaonanaga siku nyingine.![]()
Wapi hiyo mwanangu? Mido isti au?Mzima mwanangu. Natoka Leo kimtindo hahahah. Will not be hear for not less than 15 days.
Haha na wapo humu humu jf? Hao hawafai kabisa asee!Teh sio full picha tu; kuna watu nikikatiza tu kichogo wanajua HS amepita