cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
... Chimbo hilo.. kuna kipindi hadi walinikalili wakahisi nafanya biashara ya madini.. kama mkakati tu.. wa mda mrefu
![]()








... Chimbo hilo.. kuna kipindi hadi walinikalili wakahisi nafanya biashara ya madini.. kama mkakati tu.. wa mda mrefu
![]()








Kwani shoo ina uhusiano na mwonekano mkuu? SidhaniHawawapagi show za maana.. show za maana tunazo wababe![]()

Mwaka mzima niweke hela ili nikalale tu huko Malaika?![]()






akaaaah staki nimecheka hapa mie lol.Hahaaha unalijua gubu la wananzengo lakini; utawasikia tu "mmh kweli waganga wa kweli wapo, huyu dada wa kuolewa na HB hivi, hata hawaendani". Shwain zao





Hizi sehemu kuna mawili mkiwa partner mna renew mapenzi kwa mdaaa.. na ukiwa alone una enjoy zaidi.. unatoka mpyaaa hasa kama mkaaji wa zaidi ya 5days.. unatoka akili imesimama..aaaah wapi wee, sasa naenda huko kufanya nn? Akati cna interest nako,
Niliwahi pelekwa johari rotana, wallah nlibaki kuduwaa na kuwa bored tyuuh, mwshoe nlijiona nimeharibu pesa na muda wa mtu.
Sitaki mie nakuwaga muwazi tyuuh, kuliko nionekane msumbufu na mtu wa tamaa,
Wengi mayaimayai wazembe hawataki hatavkutafuta hela wakidhani tutakula uzuri.Hawawapagi show za maana.. show za maana tunazo wababe![]()
Nimejifunza vingi wallaqh.😊😊😊 Na ndio hata wazungu wengi hufanya hivyo.. anakuwa na mkakati kwamba mwaka huu naenda sehemu flani.. anatunza kiasi kile kile cha pesaaa.. hapa mtu unajipanga mwezi wa sita naensa sehemu flanii unaweka kibubu.. ungekaaa executive ndio 👌👌👌👌
😂😂.. ndio maana mnakuwa na wakuuza sura na wa show showWengi mayaimayai wazembe hawataki hatavkutafuta hela wakidhani tutakula uzuri.
Na wewe si ndo walewale wenye dimpo wakati mimi sina hata ya kusingizia.
..Mipango ya MUNGU.Ila dimples ni ulemavuhuruma hiyo hiyoo 😁😁huruma ya nn tena?
TobaaaaaSaint Anne kulala pale ni laki 3 na 20.
Chips plain ndogo ' honestly huwezi shiba sh. 8000 ' papper stake unamudu banaa, tilapia unamudu.
Jipange mwaya ' January to December unajaza kibubu cha kutosha kuji'enjoy kabla hujarudi kwa muhindi kuendelea kupigika.
Akaaaaaaaah sitaki hiyo hela yote ya nn? MweeeeehSaint Anne kulala pale ni laki 3 na 20.
Chips plain ndogo ' honestly huwezi shiba sh. 8000 ' papper stake unamudu banaa, tilapia unamudu.
Jipange mwaya ' January to December unajaza kibubu cha kutosha kuji'enjoy kabla hujarudi kwa muhindi kuendelea kupigika.




😁😁😁 Executive ndio maisha.. unajiweka kule siku zako tanoo.. unatoka safiii.. hela zinatafutwa tu 😂🤕😂😂.. wecheni ubahiri kama wa Saint AnneNimejifunza vingi wallaqh.
Ningekaa executive??? Mshahara wangu wa miezi 3 😂 weeeeh em niache.
Tena nifanye ni'forget WiFi yao, inanifanya niimiss Mwanza.
Hahaaha unalijua gubu la wananzengo lakini; utawasikia tu "mmh kweli waganga wa kweli wapo, huyu dada wa kuolewa na HB hivi, hata hawaendani". Shwain zao
..Dawa ninkuziba masikio tuMama angu ananiambiaga subiri ufike 50+ yrs utazichukia hizo dimpo...Mipango ya MUNGU.Ila dimples ni ulemavu
Au nasema uongo Depal
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Uje mwezi wa tatuu utaona 😂😂 na kulala jamaniiTobaaaaa
Asante.
Kuna aina gani ya vitanda?