Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wengine kufa kubudu hatuwezi,tunajikuta tusharopoka.Sipendi siasa wala kujibishana Na mtu Na ndio maana hunikuti nikisema chochote unaweza kujua sipitiagi hayo majukwaa eenayapitia Kwa ukaribu mkubwa mno lakini kimya kimya nikiguswa sana nitalike tu.
Ubishi kama wa Saint Anne aise sijawahi kubarikiwa nao![]()






