Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sipendi siasa wala kujibishana Na mtu Na ndio maana hunikuti nikisema chochote unaweza kujua sipitiagi hayo majukwaa eenayapitia Kwa ukaribu mkubwa mno lakini kimya kimya nikiguswa sana nitalike tu.

Ubishi kama wa Saint Anne aise sijawahi kubarikiwa nao
Wengine kufa kubudu hatuwezi,tunajikuta tusharopoka.
 
Moyo unao aise..kwangu ukishaanza kubishana au matusi basi majibu ni mawili..nikae kimya au nikujibu utumbo uliooza
Mimi mtu akinitukana anajichosha tu,zaidi sana atakuwa anajidhihirisha kiwango chake cha upumbavu.
Ila nikisema na mimi nimtukane kama alivyonitukana mbona atalia.

Sema kule siasani wengine kama watani wa jadi ,wanatukanana kesho maisha yanaendelea kama kawaida,hawana vinyongo.
Halafu kuna wadau wapo very smart kwwnyw kujibu mfano mzuri ni huyu Erythrocyte ..huwa ana majibu fulani simple,,anajikuta jukwaa analimudu vizuri.
 
Amina
20220108_141409.jpg
 
Back
Top Bottom