Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Ee...karibu. Napenda sana kula lkn huwezi amini safarini huwa inabidi nijikaushe tu.Kilimanjaro ndogo
Ee...karibu. Napenda sana kula lkn huwezi amini safarini huwa inabidi nijikaushe tu.Kilimanjaro ndogo
🤣🤣🤣🤣🤣 !🚶🚶Kwenye ya leo![]()
Mzee wa VilingePaja la kike
Happy New Year!!!
Daaha, usha kunywa chai nduguKabisa...siku hazigandi aisee!
Ndio Ipo jikoni..!Daaha, usha kunywa chai ndugu
Yeah na safarini bhana Bora usiwe unakula.Ee...karibu. Napenda sana kula lkn huwezi amini safarini huwa inabidi nijikaushe tu.
Kumbe bado, bora yangu ipo mezani! KaribuNdio Ipo jikoni..!
Asa shida yangu njaa ikiuma sana nikifika huwa nashindwa kula labda had kesho yake. Hapo tumbo litauma huwa nakunywa tu chai basiYeah na safarini bhana Bora usiwe unakula.
Ukifika utalipiza kisasi hahahaahah
Asante nakuja 🚶!Kumbe bado, bora yangu ipo mezani! Karibu
I am waiting for youAsante nakuja!
Una matatizo ya gas???Asa shida yangu njaa ikiuma sana nikifika huwa nashindwa kula labda had kesho yake. Hapo tumbo litauma huwa nakunywa tu chai basi
Wala...sijui kwa nn napatwa na hiyo haliUna matatizo ya gas???
Pole sana.Wala...sijui kwa nn napatwa na hiyo hali
Ndo unarudi moshi mkuu
Iringa boss...Ndo unarudi moshi mkuu
Ukitaka kuabudu nishtue miss mahondawNasema hiviiii.. Naomba nyimbo ya kuabudu yakunizamisha rohoni!
au kusifu ndio poa zaidi?
Hapa worshippers tuko wengi kumbe eehKuna wimbo huu unaitwa huyu Mungu ni baba .
lakini mimi nadhani napenda kusifu zaidi