Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Jamaniii ๐๐๐ usiku huu..Hahahaaa.... Leo twapata neno la mungu.... Neno la uzima!
Jamaniii ๐๐๐ usiku huu..Hahahaaa.... Leo twapata neno la mungu.... Neno la uzima!
Ndiwoooooooooo! Tunakula verses na mapambio kwakwenda mbele!! Hallelujah!Jamaniii ๐๐๐ usiku huu..
๐๐๐๐๐.. kapicha kamoja tu, nimebaki mie na wewe tu hapa wengine wameenda kulala fanya chap chap nioneNdiwoooooooooo! Tunakula verses na mapambio kwakwenda mbele!! Hallelujah!
Good things 9.8ms squared ni worshiper ( emotion - songs ).. we bow down, we bow before your throne, we worship you King of the kings.. as..... 4 living creatures worship you in heaven,....... we worship you...... hii ukinikuta kwenye mood..
ni



Mimi ni worshipper.
Huko kwenye kusifu napwaya.
๐๐ Ukiona mtu ni worshper ni angelic huyo, kwasababu malaika huwa hawasifu bali huabudu.. nina somo deep sana nilisoma miaka ya 70 huko siku nikiamka vizuri ni copy and paste but we have to balance Sifa - Men.. Worship AngelicMsija, mkimaliza ku-worship nitakuwa nawaburudisha na sifa![]()
Tupia nyimbo ya kuabudu nizame rohoni nikanene namungu wangu mie!! Selfika ipo tu!๐ถ๐๐๐๐๐.. kapicha kamoja tu, nimebaki mie na wewe tu hapa wengine wameenda kulala fanya chap chap nione
Teh paa una mwembwe jamani. Ulikisoma miaka ya 70?Ukiona mtu ni worshper ni angelic huyo, kwasababu malaika huwa hawasifu bali huabudu.. nina somo deep sana nilisoma miaka ya 70 huko siku nikiamka vizuri ni copy and paste but we have to balance Sifa - Men.. Worship Angelic
Lol! Njoo basi tuabudu wote kwa zoom yani tukeshe tuna abudu ๐๐๐Tupia nyimbo ya kuabudu nizame rohoni nikanene namungu wangu mie!! Selfika ipo tu!๐ถ
๐๐๐ ilikuwa 61 mwaka uhuru ๐๐๐Teh paa una mwembwe jamani. Ulikisoma miaka ya 70?
Itapendeza sanaa make ulee mstari wa baibo unasemaje vilee ule wa wakusanyikapo wangapi sijui..hebu nikumbushe vizuri ๐ณ๐!Lol! Njoo basi tuabudu wote kwa zoom yani tukeshe tuna abudu ๐๐๐
Mathayo 18 : 20Itapendeza sanaa make ulee mstari wa baibo unasemaje vilee ule wa wakusanyikapo wangapi sijui..hebu nikumbushe vizuri ๐ณ๐!




mnavyopenda ukubwa sasa. Ngoja mfike age zetu
ilikuwa 61 mwaka uhuru
![]()
Mathayo 18 : 20
View attachment 2071257
Asante sana!Mathayo 18 : 20
View attachment 2071257
๐๐๐๐ haaaa... mie age imekata sanaaa.. huenda nimekuacha mbali sana.. sema. tu mwili wangu haujawai niacha salama.. umeisha stuck ๐๐mnavyopenda ukubwa sasa. Ngoja mfike age zetu
Msija, mkimaliza ku-worship nitakuwa nawaburudisha na sifa![]()




Na wewe fanya kampango sasa... ๐๐๐๐๐.. nipe nikupeAsante sana!
Natagiwa baada ya kuombwa kutagiwa.