Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Sanaaa.... Keeping fitmazoezi eeh.. safi
Sanaaa.... Keeping fitmazoezi eeh.. safi
Weeeee kibaba mama kombolela kama zotesijui nilikuwa wapiii aseee.. watoto wenzangu hawakutumia fursa ya ubaba na mama
![]()
Kwenye kombolela palikuwa patamu sanaaaa 😂😂😂Weeeee kibaba mama kombolela kama zote
Mti kama mti🤣🤣🤣Basi kama umekweya hiyo hakuna mti utao shindwa kwea.. 😂😂
Hahahaaa...mnazama docho moja na mdosi ambae kwenye kibaba mama wewe ukiwa baba yeye huwa mama 🤣!Kwenye kombolela palikuwa patamu sanaaaa 😂😂😂
😂😂😂😂eeeh! mkwezi wa mti na utundu wako juuuMti kama mti🤣🤣🤣
Ewaaaaa.. ndio ivyo ilivyo kuwa inaisha 😊😊😊Hahahaaa...mnazama docho moja na mdosi ambae kwenye kibaba mama wewe ukiwa baba yeye huwa mama 🤣!
Hahaha😂😂😂😂eeeh! mkwezi wa mti na utundu wako juuu
janjaa sana weweee 😂😂😂😂Hahaha
Acha uhuni!!Basi kama umekweya hiyo hakuna mti utao shindwa kwea..![]()















Nimependa tu hizo raba, ulikonunua zilibaki kweli?Evening!Wale wa mazoezi haya twende kaziView attachment 2069628
Zipo nyingi!Nimependa tu hizo raba, ulikonunua zilibaki kweli?
Nichukulie pair moja kwa hisani yakoZipo nyingi!
Umefuta picha sijaonaZipo nyingi!
Kuna siku nilikunywa robotatu kikombe baada ya masaa niliongea kingereza na kila anaeniongelesha namjibu kingereza! Leo tena ngoja nione itaifanya nini..




utaongea kichina sasa.