Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,193
- 183,008
Sanaaa.... Keeping fitmazoezi eeh.. safi
Sanaaa.... Keeping fitmazoezi eeh.. safi
Weeeee kibaba mama kombolela kama zote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui nilikuwa wapiii aseee.. watoto wenzangu hawakutumia fursa ya ubaba na mama [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwenye kombolela palikuwa patamu sanaaaa 😂😂😂Weeeee kibaba mama kombolela kama zote
Mti kama mti🤣🤣🤣Basi kama umekweya hiyo hakuna mti utao shindwa kwea.. 😂😂
Hahahaaa...mnazama docho moja na mdosi ambae kwenye kibaba mama wewe ukiwa baba yeye huwa mama 🤣!Kwenye kombolela palikuwa patamu sanaaaa 😂😂😂
😂😂😂😂eeeh! mkwezi wa mti na utundu wako juuuMti kama mti🤣🤣🤣
Ewaaaaa.. ndio ivyo ilivyo kuwa inaisha 😊😊😊Hahahaaa...mnazama docho moja na mdosi ambae kwenye kibaba mama wewe ukiwa baba yeye huwa mama 🤣!
Hahaha😂😂😂😂eeeh! mkwezi wa mti na utundu wako juuu
janjaa sana weweee 😂😂😂😂Hahaha
Acha uhuni!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]Basi kama umekweya hiyo hakuna mti utao shindwa kwea.. [emoji23][emoji23]
Nimependa tu hizo raba, ulikonunua zilibaki kweli?Evening![emoji1672] Wale wa mazoezi haya twende kaziView attachment 2069628
Zipo nyingi!Nimependa tu hizo raba, ulikonunua zilibaki kweli?
Nichukulie pair moja kwa hisani yakoZipo nyingi!
Umefuta picha sijaonaZipo nyingi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee kijana wa hovyo, akuuuuh mie hata huwa sifanyi mambo ya wakubwa, bado mtoto mie.Naona jana baada ya mastory yenu mlienda kuzipunguza eeeh! ama kweli kwenye njaa mpe kushiba anatuliaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weee! Usinambiee!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaongea kichina sasa.Kuna siku nilikunywa robotatu kikombe baada ya masaa niliongea kingereza na kila anaeniongelesha namjibu kingereza [emoji1787]! Leo tena ngoja nione itaifanya nini..