Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jumatano ndio viwanja vinawaka, namsubiri Chakorii nitampeleka kiwanja kimoja mwanza.. Jumatano huwa kinawaka kuliko hata ijumaaa [emoji4][emoji4].. hizo dawa watoto wa. mjini watazijulia wapi
Mie ndo mtoto wa mjini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akati madawa ya kienyeji nayajua vizuri sana
 
Embe spunda hizi. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Mlongo,mambo matamu[emoji8]
FB_IMG_16414137620158897.jpg
 
Ila home kwetu kuna guest bubu nyingi, had za elfu 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmekumbka mbali jomoneeeh, uwiiiiiih.
Lodge buku saba,lodge tamu asubuhi wapewa chai nzitooo,

Nikichoka mikato ya kagheto kangu,naenda lodge[emoji2440]
 
Back
Top Bottom