Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,277
- 95,559
Msiwe mnafuta picha
Ndiyo hivyo[emoji3]Weee! Usinambiee!! [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
We baba mlalamishiMsiwe mnafuta picha
Mie ndo mtoto wa mjini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jumatano ndio viwanja vinawaka, namsubiri Chakorii nitampeleka kiwanja kimoja mwanza.. Jumatano huwa kinawaka kuliko hata ijumaaa [emoji4][emoji4].. hizo dawa watoto wa. mjini watazijulia wapi
Mie ndo rafki angu bibi, amenionesha madawa mengi, mengne hata sjui ntafanyia kaz lini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa...ambao hawajakaa na bibi zao vijijini hawawezi jua dawa za kienyeji!
hapana rafikiWe baba mlalamishi
Embe spunda hizi. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weeeee kibaba mama kombolela kama zote
Unalalamika sana[emoji23],mara emoji mara kufutahapana rafiki
Ila home kwetu kuna guest bubu nyingi, had za elfu 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mlongo,mambo matamu[emoji8]Embe spunda hizi. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Huwezi pata kichefu chefu?View attachment 2070004
Karibuni cha usiku! [emoji39][emoji39][emoji39] Mimi ndio huyo nimevaa msuli!
Jomoneeeh masuku haya, [emoji39][emoji39][emoji39]Mlongo,mambo matamu[emoji8]View attachment 2070007
Hao dagaa?How!
Walaa, dagaa likikaangwa vizuri na kukaushwa wala halisumbui! Ukilipatia na ndimu kidogo! Hiiiiiiii [emoji39][emoji39][emoji39]Hao dagaa?
Lodge buku saba,lodge tamu asubuhi wapewa chai nzitooo,Ila home kwetu kuna guest bubu nyingi, had za elfu 3 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmekumbka mbali jomoneeeh, uwiiiiiih.