Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
Msiwe mnafuta picha
Ndiyo hivyoWeee! Usinambiee!!![]()

We baba mlalamishiMsiwe mnafuta picha
Mie ndo mtoto wa mjini?Jumatano ndio viwanja vinawaka, namsubiri Chakorii nitampeleka kiwanja kimoja mwanza.. Jumatano huwa kinawaka kuliko hata ijumaaa.. hizo dawa watoto wa. mjini watazijulia wapi




Mie ndo rafki angu bibi, amenionesha madawa mengi, mengne hata sjui ntafanyia kaz lini.Hahahaaa...ambao hawajakaa na bibi zao vijijini hawawezi jua dawa za kienyeji!




hapana rafikiWe baba mlalamishi
Unalalamika sanahapana rafiki
,mara emoji mara kufutaIla home kwetu kuna guest bubu nyingi, had za elfu 3




Huwezi pata kichefu chefu?
Hao dagaa?How!
Walaa, dagaa likikaangwa vizuri na kukaushwa wala halisumbui! Ukilipatia na ndimu kidogo! HiiiiiiiiHao dagaa?



Lodge buku saba,lodge tamu asubuhi wapewa chai nzitooo,Ila home kwetu kuna guest bubu nyingi, had za elfu 3
Nmekumbka mbali jomoneeeh, uwiiiiiih.
