Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 12,105
- 35,136
Sijui nani ali haramisha pombe, kama sijakosea ni martin lutherMatunda??
Matunda gani pombe linanuka hilo.
Sijui nani ali haramisha pombe, kama sijakosea ni martin lutherMatunda??
Matunda gani pombe linanuka hilo.
Ni maandikoSijui nani ali haramisha pombe, kama sijakosea ni martin luther
Yaani nimepata awamu zote 2,japo awamu ya kwanza ile nikataka kukuquote nikaona quote haiquotiki..kumbe ukafuta!
Awamu ya pili nikaquote ili wakereketwa wa picha wakiona quote yangu wapate kale kafeeling ka kupitwa![]()



naomba nione wallah.Naongea ukweli mkuuPunguza ukorofi![]()
Ngoja nifanye hivo!Tumia Tapatalk hautakutana na hio shida
Tumia chromeNajaribu kupost picha kupitia browser inagomaaa,, App nayo imezingua dah!
Huwezi ukaelewa haya mambo
Wenye hobby ya picha waliopitwa wananipata mubashara kabisa![]()





Yanii inazingua mnoo!Tumia chrome
Browser linazingua.
Zawadi angu nije wapi kuchukua?Hellooo....darsesalamView attachment 2066353
Na wewe ni mhenga kwani? Akina Betina umewajulia wapi?Na mimi chief unikumbuke,nimewamis betina na zenna.

Browser imekuwa ya hovyo.Yanii inazingua mnoo!
Unaweza kutuwekea hapaNi maandiko
Pole, isiwe tu unasingizia.Najaribu kupost picha kupitia browser inagomaaa,, App nayo imezingua dah!
Hebu muelezeni jamani namna mnajisikia😂😂😂
Usiniambie hujawahi kuyaona!Unaweza kutuwekea hapa
Imekubali rafikiiiii.. Kumbe madogo walichezea kimeo changu wakaklick kidude fulani hivi!!! Mavi yao hahahaPole, isiwe tu unasingizia.



Hukunipa mchapo wa chama langu dhidi ya chama lako, najua habari unayo, Man city haijawahi niangusha ktk maisha yangu yote,Wamshukuru tu keeper wao na washukuru katikati tulikuwa wabovu.
Hata hivyo nafasi ya pili tunaenda kukaa sisi maana hao chelsea wanaenda kutandikwa na kipara.




Imekubali rafikiiiii.. Kumbe madogo walichezea kimeo changu wakaklick kidude fulani hivi!!! Mavi yao hahahaPole, isiwe tu unasingizia.


