cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Hivi kwako browser inakubali kupost picha??Browser imekuwa ya hovyo.
Najaribu kupost picha kupitia browser inagomaaa,, App nayo imezingua dah!



leo JF inafanyiwa marekebisho.Tunasubiri mje tuwanyuke.Hukunipa mchapo wa chama langu dhidi ya chama lako, najua habari unayo, Man city haijawahi niangusha ktk maisha yangu yote,![]()
HaikubaliHivi kwako browser inakubali kupost picha??
Balaa tupu yani ila nashukuru saivi imekubali ngoja nijaribu kutuma fotoleo JF inafanyiwa marekebisho.
!Wewe tena!😂😂😂😂Daaah kweli had mie?![]()
Hata mie haikubali!Haikubali
Ni hadi nitumie app au chromeHata mie haikubali!
Mbaya zaidi niliyeona ni mimi😂😂👌maumivu hayaelezeki.
Tunasubiri mje tuwanyuke.
Wanaogopa kuwaleta kwetu,,wanawapa wanyonge tu ndio mcheze nao.



tunakuja hapo kwenu na tunawapiga mbele ya majirani zenu.Saivi app naona imekaa poa!Ni hadi nitumie app au chrome
Kabisa utume hapa, nmemiss kukuona.Balaa tupu yani ila nashukuru saivi imekubali ngoja nijaribu kutuma foto!
Waulize wenzio walioikosa,unadhani hawakuwepo!!?mie ningekuwepo jana, wallah ningeipata.
Hebu ucnifanyie hivyo bhana, plz naomba nione hata kule kwa mzee wa Ruangwa,Wewe tena!![]()




Mimi leo nimeachana nayo baada ya kuona inanisumbuaSaivi app naona imekaa poa!
Ngoja nisicheze mbaliBalaa tupu yani ila nashukuru saivi imekubali ngoja nijaribu kutuma foto!
Wee unanijuaga mie hapa sibanduki, ningepata yaanWaulize wenzio walioikosa,unadhani hawakuwepo!!?
Picha ilikuja kama mwivi kiasi kwamba wateule wachache ndo tuliona.


