Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
NimeonaWamerudisha huku mdau loh!!!!
Ila 2nd half tunawachapa mapema sana
NimeonaWamerudisha huku mdau loh!!!!
Mmhh haya bana![]()
Kawaida yangu mbonaUmeanza lini kutopokea? Kweli mwaka mpya na mambo mapya
Ngoja nikufatiepo pmKawaida yangu mbona
Dah chelsea keeper wao anawabeba.Wamerudisha huku mdau loh!!!!
Huo muda unawaza kunifwata ungemfuata mwenye picha ingependeza.Ngoja nikufatiepo pm
Matanuzi wapi SYB....kaupepo tu kanaruhusu kujisahaulisha stress zangu basi hamna zaidi.We tukizembea utakwama Zanzibar wewe. Si kwa matanuzi haya wallahi.
Mwaka mpya umeuanza vizuri sana dah!



Hilo jarida la Sani utaniachia tu hamna namna.
Ninayo boksi zima. Nilikutana na mtu mmoja alikuwa anayafanyia kazi alipomaliza akaniachia. Huwa nayapitia basi naishia kucheka tu. Yapo pia ya Bongo na Tabasamu. Nitakuletea hata matanoH
Hilo jarida la Sani utaniachia tu hamna namna.

Huo muda unawaza kunifwata ungemfuata mwenye picha ingependeza.
2nd attemptUlishangilia mapemaNilisema mimi hili chelsea tutajipigia tu hadi tuchoke



Na mimi chief unikumbuke,nimewamis betina na zenna.
Imepona sasa?Jf app leo tangu mchana kwangu inazingua balaaa!