Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Chelsea anakufa huku
20220102_190203.jpg
 
Jana

Nimeenda kukata nywele lakini nimejuta kwanini nimezikata maana ZIMEHARIBIWA.

Nimeingia gharama nyingine ya kutengeneza kiwigi.hakuna namna
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole mama ila jiamini tu maisha yenyewe ndiyo haya haya! Kwani nawe nywele zako zinaanzia kati kati ya kichwa kama za kwangu?
 
Mi nilipishana nayo. Hata sasa najifurahisha tu bado sijaiona. Jinsi nilivyo na hasira nafikiria hata kupumzika JF kabisa. Nimechemsha balaa [emoji51][emoji51][emoji51][emoji706][emoji706][emoji706]

Halafu walioibahatisha wanavyoringa sasa dah!
Pole kakweli😁hata Mimi ninajipa moyo tu sina namna
 
Back
Top Bottom