Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna muda inabidi tu utabasamu hata kama umegubikwa na machozi ya kila aina... 2021 haukuwa mwaka mzuri kwangu... Naendelea kuwaombea wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki!!View attachment 2064046
Pole sana mpendwa yote mapenzi ya Mungu.
Nimefurahi sana kukuona leo mkuu!✌️✌️✌️imekaa poa sana.
 
Karibuni tuusindikize mwaka mdogo mdogo

IMG-20211231-WA0003.jpg
 

Kuna jirani yetu mmoja ni dereva wa hayo magari,ana mke wake na hawajabahatika kupata mtoto tangu tumewajua 2012.
Jamaa yuko happy tu kwake na haonyeshi kunyongo chochote ila hakaliki kwake.
Si ajabu ana michepuko huko nje na ana watoto wengi tu.
Ohoo yaani mwanaume akose mtoto ndani ya ndoa awe na furaha kabisa? Ukiona ana furaha ujue tayari kashafanya yake huko nje!

Mwanaume tu yeyote akikosa mtoto ndani ya ndoa lazima azae nje sembuse ambaye ni dereva wa lori? Na hata akiwa na watoto ndani ya ndoa na ndoa yake ikawa na furaha lazima tu atachepuka na atazaa nje yaani wake zao inabidi wajikaze tu kwa kweli!
 
Back
Top Bottom