Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Anne mabastola
Anne mabastola
😍Saint Anne funga mwaka.View attachment 2064203
Hatimaye umeselfika wewe mama😍.Vile ukizeeka kumbe miguu nayo yazeeka. View attachment 2064194
MweeehAnne mabastola
Hahaha lete hela nikuuzie nywele. Mwaka mpya nasokota rasta.😍
Hivi hii ni ya leo au umenipiga kamba??
Btw napenda style yako ya nywele,yaani nakuona kama chalii ya agano jipya muefeso
Nahitaji game na wewe😋Inanyweka tu mbona![]()
Niongezeee basi kidogo.Hahaha lete hela nikuuzie nywele. Mwaka mpya nasokota rasta.

Ohoo yaani mwanaume akose mtoto ndani ya ndoa awe na furaha kabisa? Ukiona ana furaha ujue tayari kashafanya yake huko nje!
Mwanaume tu yeyote akikosa mtoto ndani ya ndoa lazima azae nje sembuse ambaye ni dereva wa lori? Na hata akiwa na watoto ndani ya ndoa na ndoa yake ikawa na furaha lazima tu atachepuka na atazaa nje yaani wake zao inabidi wajikaze tu kwa kweli!



Hii shuka kama naijua hotelin flani hivi , sema kitanda ndio kama hali leti connection 😂😂Vile ukizeeka kumbe miguu nayo yazeeka. View attachment 2064194
Bia ya katiba hio 😅 mwisho wake lazma ugombane na mtu!We jamaa maneno yako😂🙌😂🙌
Ewe binti sayuni
Nakugusa bega sasa hiviView attachment 2064234Current View😎
Khai khai


KaribuNakugusa bega sasa hivi