T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,926
- 30,072
Naona unawapiga kamba🤣Teh ile camera tu mkuu si unajua camera zetu hizi artificial. Kutana na mimi live ndiyo utajua hujui.
We jamaa maneno yako😂🙌😂🙌Kumbe unakunywa hii bia iliozinduliwa sanjari na katiba ya Jamburi😅😅😅 aisee we ni Mafia
Teh africa ukiona mtu kakomba sahani ujue hajashiba mkuuUmeshiba kweli?


Inanyweka tu mbonaKumbe unakunywa hii bia iliozinduliwa sanjari na katiba ya Jamburiaisee we ni Mafia


Niko Mbweni JKT mkuu karibu



Hivi ni kweli hawa jamaa huwa hawana mwanamke mmoja??
Ninge kama nige😍Kuna muda inabidi tu utabasamu hata kama umegubikwa na machozi ya kila aina... 2021 haukuwa mwaka mzuri kwangu... Naendelea kuwaombea wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki!!View attachment 2064046
Pole sana mpendwa nimefurahi kuiona picha yako leoKuna muda inabidi tu utabasamu hata kama umegubikwa na machozi ya kila aina... 2021 haukuwa mwaka mzuri kwangu... Naendelea kuwaombea wapendwa wangu waliotangulia mbele ya haki!!View attachment 2064046
😂Hawanaga![]()
AmeenNinge kama nige😍
Wapumzike kwa amani mwanao na baba yako🥲🙏
🙏🙏🙏🙏Ameen
Yule mwigizaji..Onyango mzuri sana![]()
Amin AnnieNinge kama nige
Wapumzike kwa amani mwanao na baba yako🥲![]()