Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dooooh pole sana Warda na familia nzima. Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja yake ya milele; awavushe salama katika kipindi hiki kigumu, awaepushe na mafarakano, asiwapungukie. Poleni sana na baba apumzike kwa amani. To God we belong, and to Him we return.
innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER
 
innalillah_____wainaillah____ rajihun___ my FATHER
Mjukuu nini tena jamani? Umepotea hapa tukawa tunataniana kumbe uko katika hekaheka nzito namna hii?

Kama binadamu hatuna la kufanya isipokuwa kumtakia mzee wetu pumziko jema kwa Allah. Naam! Ndiyo mwisho wetu kwa sisi tuliozaliwa. Kila mmoja wetu atarudi kwa Baba kwa ratiba yake aliyopangiwa. Pole sana na Mungu Akupe faraja pamoja na familia yote
 
Yaani nikitaka solo najitoa tu kafara na pisi 3 au 2 kwa solo fupi. Otherwise nabaki na shift zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!hongera Mimi bado kujichinja kwa soloo!hua nashona vipenseli tu mpk chini...viwili vinatoka au nashona na wasichana wangu wawili baasi!
Nkiwaza pande 3!!!nguo moja wee
 
Back
Top Bottom