Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,385
Hata mimi aisee. Nimekumbuka solo kali ya Dalii Kimoko na Diblo Dibala. Nikataka hata kuulizia nikaona nikaushe tu. Fani za watu!Kweli kila mtu na sekta yake hapo ulipozungumzia solo ikanijia taswira ya gitaa








