Kama ilivyo ada kaka mkubwa tumfariji mwenzetu naomba utafute utaratibu utujulishe mkuu wanguJamani kama group la Selfika tunafanyaje kuhusu msiba baba wa mwenzetu? Naombeni maoni yenu
![]()
Kama ilivyo ada kaka mkubwa tumfariji mwenzetu naomba utafute utaratibu utujulishe mkuu wanguJamani kama group la Selfika tunafanyaje kuhusu msiba baba wa mwenzetu? Naombeni maoni yenu
![]()
Mtaelewa tu[emoji23][emoji23]Nabeti hata ukielezwa hautaelewa!!
Ngoja tumalize suala la rambirambi za mjukuu wako, then tutaendelea na darsaKwa nini nisielewe mkuu? [emoji15][emoji15][emoji848][emoji848]
Duh hivi 3pcs haiwezi nidondosha kweli?
Maana vitenge vitakuwa vingi kuliko mwili.
Rafiki naomba usimamie zoezi pls[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka sana,solo gauni za kuchanuaaa kama picha za hapo juu,penseli ni magauni ya kubana yanakuchora mwili wako!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mpendwa; solo ni nini?
Vipenseli ni nini?
Mchanuo ni nini?
[emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]kwa nini wauliza?!!hivi wewe rayva.... ni muislamu kumbe!?..
Ameen!Pole
Mungu awafanyie wepesi mpite salama katika hiki kipindi.
Bwana alitoa,Bwana Ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Hahaaaaaa, maisha haya humkuti Mlangira.Wakora mulangira [emoji1545]
Bana sms tu ingetosha hayo ndio mambo yangu mzeeHii buza kwa mama bonge 😁😁
Kumbe rahisi tu. Nimeelewa mpendwa. Asante sana [emoji1545][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka sana,solo gauni za kuchanuaaa kama picha za hapo juu,penseli ni magauni ya kubana yanakuchora mwili wako!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nimecheka sana,solo gauni za kuchanuaaa kama picha za hapo juu,penseli ni magauni ya kubana yanakuchora mwili wako!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hahahaha!sawaKumbe rahisi tu. Nimeelewa mpendwa. Asante sana [emoji1545]
[emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] acha kabisaa mwl ktk maelekezo!!Ndiyo mwalimu
Ni kushukuru hata kwa kupewa kilichopatikana msukuma nyie wanaume hamjuagi vya maua kiviiilee!!!!! kwangu ni bora kidogo / Cha kawaida ila chenye furaha na amani...kuliko kinyume chake. Halafu kamwe katika maisha usijilinganishe..Ukiwa boss lady bila shaka vitu kama hivi unakuwa ushavizoea tu. Na kwa level yako hayo "maua" hayakupaswa kuwa ya kienyeji (madafu)...kama ulivyofanya kwenye birthday fulani uliyowahi kum-wish bosi fulani humu. Nakuaminia boss lady [emoji122][emoji122]