financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Hahaa kuvaa hivi ni wa kijijini sasa si mjini, mimi ni wa kijijini ndiyo maana navaa nyela mumo😂😂Kalumbu umekuwa wa mjini mwee
Hadi unavaa nyelamwumo😁
Hahaa kuvaa hivi ni wa kijijini sasa si mjini, mimi ni wa kijijini ndiyo maana navaa nyela mumo😂😂Kalumbu umekuwa wa mjini mwee
Hadi unavaa nyelamwumo😁
Guiness leo sina. Savannah ni vitu vya waremboView attachment 2056211





jina zuri, chupa bayaa, hata haishawishi. LolHuku naangalia live miss East Africa!





eeeeeh nawee ulikuwepo eneo la tukio? HahahahThanks shos na kwako pia,






Nilikuwepoeeeeeh nawee ulikuwepo eneo la tukio? Hahahah
Njoo Kijijini huku madongo kuinama, tusaidiane kuchinja Mbuzi![]()




nakuja boss.Ungejua nilianza kuzitunza kidogo kidogo tangu mwaka Juzi zinisaidie kwenye palizi huku Kijijini
Karibu sana Mkuu





eti eeeh? Wengine walianza tangu wakp watoto had leo hazijafka hivyo, hebu nieleze siri ya mafanikio. 


Shimba Ya Buyenze (daddy i love you)
Mshana Jr (anko i miss yoooo)
Saint Anne (cha ubishi)
mtu chake (kipenzi)
RRONDO (ohooo)
Karma (ile filingi tunayo kwa rrondo)
cocastic (kipendhi i missd yo)
Jack Palladino (shem darling...)
Mjep (brother mambo ni ajeee)
Heaven Sent (bwana asifiw m.mchungj
The Wolf (nakukubaligi sana)
The Monk (nakukubali mno)
na wengine wooooteee ambao sijawataja kwa haraka haraka.
Merry Christmass & Happy New Year







kipendhiiii mic u had naumwa, nan alikuficha? Tanteeeeh nawee pia, but mie naumwa hapa.Msifu Bwana
Msifu Bwanaa
Eee watu wote
Msifu watu wote
Msifu watu wote
Msifu msifuni ee watu wotee
Msifu msifunii ee watu wote .
MWANAKONDOO WA MUNGU AMESHINDA
TUMFUATEView attachment 2056769


Wacha wee, pandisha juu kidg, maana nna overall km hyo.




Mbona unaguna sasa, au nichange outfit? Nivae kama bibi Christmas?![]()








Nimependa tiles hapo chini, rangi nzuri na inavutia.Jager bombView attachment 2056864
Hahaa kuvaa hivi ni wa kijijini sasa si mjini, mimi ni wa kijijini ndiyo maana navaa nyela mumo![]()





