donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
Napenda sana kusoma ujumbe wa kwenye kanga 


Uwa nipo makini sana...wanaogopa kugusa vitu vya DadyKuna siku atajaribu naye akijua umeweka juice.
Hizo pombe zako unazokunywa hadi nyumbani![]()
Mkuu nimeshamaliza kila kitu home😂😂 nipe mualiko uone kama ntakusumbuasasa itakuwaje leo na mialiko yakula ni mingi
Muulize mtu wa mbeya yoyote atakutafsiriamaana yake

Hahah!Uwa nipo makini sana...wanaogopa kugusa vitu vya Dady


Dah mkuu umekosa adabu

Mwambie ukweli kuwa uliniachaNimeachwa Shem Darling nipo natangatanga tu!..poor me![]()
Kidogo tuHahah!
Hivi kumbe na wewe ni mkali![]()
Mimi sijawahi kuachaMwambie ukweli kuwa uliniacha

Hebu mwambie ukweliMimi sijawahi kuacha![]()
Kalumbu umekuwa wa mjini mwee
Hiyo nguo ni ulinzi toshaKalumbu umekuwa wa mjini mwee
Hadi unavaa nyelamwumo![]()

Ah nimecheka sanaHiyo nguo ni ulinzi tosha![]()
Ukivaa hiyo hakuna anaekusumbuaAh nimecheka sana
Hasa jina letu tuliyoiita hiyo nguo



