Hapo ni zaidi ya kufuga mbwa. Hapo kaka ni kufanya maombi.Nafuga mijibwa mikubwa sasa
Jagermaister iliisha?Another one..View attachment 2056613
From my personal observationkumbe??? sikujua hilo![]()





Unapika nini leo rafiki?So unazimua na hiyo nyingine..
Merry Christmas dear..ikawe heri kwako na uwapendao
Same to you Shem Darling...Shimba Ya Buyenze (daddy i love you)
Mshana Jr (anko i miss yoooo)
Saint Anne (cha ubishi)
mtu chake (kipenzi)
RRONDO (ohooo)
Karma (ile filingi tunayo kwa rrondo)
cocastic (kipendhi i missd yo)
Jack Palladino (shem darling...)
Mjep (brother mambo ni ajeee)
Heaven Sent (bwana asifiw m.mchungj
The Wolf (nakukubaligi sana)
The Monk (nakukubali mno)
na wengine wooooteee ambao sijawataja kwa haraka haraka.
Merry Christmass & Happy New Year

Ankol that's we call mukwano in NyankoleShimba Ya Buyenze (daddy i love you)
Mshana Jr (anko i miss yoooo)
Saint Anne (cha ubishi)
mtu chake (kipenzi)
RRONDO (ohooo)
Karma (ile filingi tunayo kwa rrondo)
cocastic (kipendhi i missd yo)
Jack Palladino (shem darling...)
Mjep (brother mambo ni ajeee)
Heaven Sent (bwana asifiw m.mchungj
The Wolf (nakukubaligi sana)
The Monk (nakukubali mno)
na wengine wooooteee ambao sijawataja kwa haraka haraka.
Merry Christmass & Happy New Year




Sister, wewe mtu mzito sana ujueWakishua wapi mkuu.. wengine tumevunja vicoba, tunakuja kuosha huku home.. januari hata hela ya bundle hatutakuwa nayo

Love love ankal......
Hadi mda huu hakuna mwaliko wala nini, naendelea kusubiri walau supu wakuu.
Happy holidays everyone!!

Muda wa kuzumuaView attachment 2056733
Muhimu sana mkuu kujiweka sawa kwanza
Nije nyuma?