Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ungemrithisha kilinge huyu
Hahahaha... Karibu kwetu mkuu msimu huu wa horidei
Screenshot_20211225-082725.jpg
 
Nikiwa mjamzito na nikiwa nanyonyesha huwa sigusi kabisa pombe, so toka nimeachisha nimetokea tu kutotaka kunywa tena.....kuna siku niliagiza Amarula nilipata tabu sana hata kunywa nusu glass....
Nimekuelewa vizuri. Pombe sio nzuri ukifanikiwa kuacha ni jambo jema!..Ujauzito wa ngapi ulisababisha hiyo hali ya kuacha kabisa?Huyo mtoto ana baraka zake
 
Back
Top Bottom