Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,761
Wahuni hawana maaana 😂😂Mkuu unataka kumnywesha pombe mtt wa watu usiku huu ili iweje😅
Wahuni hawana maaana 😂😂Mkuu unataka kumnywesha pombe mtt wa watu usiku huu ili iweje😅
Shukrani sana mkuu. Ngoja nifanye maarifa mda huu kesho naweza ponapoa mkuu usikose kufanya hivyo kabla hujalala..
Ni jipu, sema la tako huwezi lipiga picha, unaweza kuta tako limepaukaaahapa nachart kidogo huku kujipoza maumivu.. hadi nipitiwe na usingiz.. nilikishika hivi bado bado






Haina ubishi hiyo, Hornet ndo kashasema, vijana wa chuga ni motooo








hamna haimbi hata..unataka mwenzio aanze kuimba mapambio usiku mzima?
😞😞😞 Miaka mingi sana sijapata mambo haya ya majipu, hili nalishangaa limetokea wapi.. limetibulia mambo yangu kabisaa.. hapa natamani nikalie kichwaaa
Hilo jipu linaweza kuwa la mchongo HM..Binafsi namshukuru Mungu hiyo kitu haijawahi nipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee aliwahi umwa dada angu tena yeye lilikaa kweny paja,hamna haimbi hata..


alifanya hivyo alivokua analia had tulikua tunamuonea huruma. 



Ni wimbo mzuri sana Mama Mchungaji. Asante kwa kutushirikishaMimi ni yule mmoja, kati ya wale kumi,
Uliowaponya ukoma, kwako nimerudi
Wale tisa sijui,
Ila mimi nimekuja kusema Asante
Najiuliza, Nikulipe nini, kwa yote ulionitendea mimi,
Baba ni mengi, siwezi lipa hata kwa senti
Natafuta namna nzuri ya kukushukuru ninakosa,
Natafuta maneno mazuri ya kukushukuru ninakosa.
Ee Baba,
Nikulipe nini, nikulipe nini?
Uliyonitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu
Ila nina neno moja,
ASANTE (x5)
Nachojuaga, huwa unaongezaga
Kama ukimpa mtu kitu alafu akakushukuru
Nachojuaga, huwa unaongeza, zaidi.
Sikushukuru tu kwa haya uliyotenda,
Ila, Hata kwa yale ambayo hujayatenda
Huku nikiamini, Shukrani ni sauti ya imani
Fedha (Haitoshi kukushukuru)
Dhahabu (Haitoshi kukushukuru)
Ee Baba
Nikulipe nini, nikulipe nini
Ulionitendea ni mengi,
Siwezi kuhesabu
Ila nina neno moja,
ASANTE (x2).
Shukrani imebebwa kwenye neno moja,
ASANTE (×4)View attachment 2054922
kumbe shida kuvuta!? nimeshampa angalizo kuhusu hilo na ndio utendaji kazi wa hiyo dawa..Wee aliwahi umwa dada angu tena yeye lilikaa kweny paja,alifanya hivyo alivokua analia had tulikua tunamuonea huruma.
Asubuh alivoamka alikuta ndo limeiva, akapaka dawa ingne ya mitishamba jion yake lilijitumbua lenyewe.![]()
Warembo wa selfika

Jipu kama haliko kwapani basi kwenye mbususu likikosea njia basi kwenye makende au kwenye mataqo kabisa yani jipu kutokea sehemu ya wazi ni nadra sana


Warembo kweli wamo humu .Warembo wa selfika![]()
Mwabeja sana😅
Weka picha ya dada tumuoneWee aliwahi umwa dada angu tena yeye lilikaa kweny paja,alifanya hivyo alivokua analia had tulikua tunamuonea huruma.
Asubuh alivoamka alikuta ndo limeiva, akapaka dawa ingne ya mitishamba jion yake lilijitumbua lenyewe.![]()