Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Ni tamu kama soda gani?View attachment 2055024Njoo uonje hii![]()
Ni tamu kama soda gani?View attachment 2055024Njoo uonje hii![]()
Yaan atalia huyo kaka, ila uzuri wake linaiva haraka,kumbe shida kuvuta!? nimeshampa angalizo kuhusu hilo na ndio utendaji kazi wa hiyo dawa..


sitasahau, jipu lisikie kwa mwenzio sio likupate wee.Hawachelewi kukulewesha alafu baadae wanakuvutia kwenye GizaWahuni hawana maaana![]()
kukudai malipo ya pombe waliyokunyweshaHahahahahah jipu halina ishu now siliogopi labda liotee kichwani😅 au kwenye kendeYaan atalia huyo kaka, ila uzuri wake linaiva haraka,
Jipu mie liliwahi ota ktk paja kwa nyuma chin ya makalio,sitasahau, jipu lisikie kwa mwenzio sio likupate wee.
Ni kisukuma hichi ?Mwabeja sana![]()
Miaka mingi sana sijapata mambo haya ya majipu, hili nalishangaa limetokea wapi.. limetibulia mambo yangu kabisaa.. hapa natamani nikalie kichwaaa



Kumbe na wewe huwa zinakukolea hadi unalewa!Nishalewa
Oyeeeeeeee.......
Naelewa vyema....Nistahi basi
Aki nitajua sijui..Na safari Ianze kesho tu Mambo yasiwe mengi Jumamosi..
Kimashuku Oyeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
halii bwana, haiumi kihivyo huyo dada yako alikuwa anataka kubembelezwa tu..Yaan atalia huyo kaka, ila uzuri wake linaiva haraka,
Jipu mie liliwahi ota ktk paja kwa nyuma chin ya makalio,sitasahau, jipu lisikie kwa mwenzio sio likupate wee.
Ni wimbo mzuri sana Mama Mchungaji. Asante kwa kutushirikisha
View attachment 2055049
Eeh nimeotea sijui nimepatia😅Ni kisukuma hichi ?
Jipu kila likaa sehem lina jina lake, machon - kipesani, kweny paja - mwambafu, makalio - mtyaza, makende - mbujuju, kwa kilugha chetu lakini.Hahahahahah jipu halina ishu now siliogopi labda liotee kichwaniau kwenye kende










Maana yake ni nashukuru au ?Eeh nimeotea sijui nimepatia
Wabeja sana
Mdogo wangu Makiwendo naelewa mwenyewe unavyotukubali vijana wa chuga
Hebu wathibitishie wana selfika hapa![]()








