Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
I see kweli iko vizuri, though natamani ningejua pia mahali ulipo kwa Dar ili niweze kufanya uwiano maana niliambiwa airtel inategemea na zone uliyopo.
I see kweli iko vizuri, though natamani ningejua pia mahali ulipo kwa Dar ili niweze kufanya uwiano maana niliambiwa airtel inategemea na zone uliyopo.
Mimi nina pua ya kinyakyusa typical mkuu tena kama zile za wanaume maana wanaume wengi wa kinyakyusa pua zao zinafanana. Na ukizingatia nimefanana na mzee copyright.Toa emoji ntakwambia ikoje afu ntakununulia zawadi ya puto tuselfike usiku kucha mtoto mzuri.
Hahaaa mimi siyo afande jamaniNakuaminia sana afande. Hufutagi picha yaani. Safi sana as usual![]()


Mbona akina Gwakisa na dokta Tulia wana pua sex toa emoji banaa.Mimi nina pua ya kinyakyusa typical mkuu tena kama zile za wanaume maana wanaume wengi wa kinyakyusa pua zao zinafanana. Na ukizingatia nimefanana na mzee copyright.
FS ni mimi aisee...kama primary umesoma Mbeya huyo ni mimi kabsa....i miss you xWe Gelard wewe mbona unafanana na ex wangu wa primary![]()








Haaaa hapana, hizi zinakausha. Ila watu mna oesophagus nzuri, Mimi Kuna vitu siwezi shushaView attachment 2053896
Kama hizi?
Aaaaah, nazijua hizoMeatballs....
Ndaga nkamu, wewe mwenyewe ni kastaarabu sana tu ntaendelea kukuiga😍Ndaga fijo nkamu. Na wewe uendelee kuwa kapole hivyohivyo, usituige dada zako hapa![]()
Huyo wa kwenye TV anafanana na aliyekaa kwenye kochi🤔
😂Mkuu huna mambo mengi kama binti wa kisabato![]()
ukiona mdada anaangalia NAT GEO ujue pembeni kakaaa na Husband..hz channel wadada ngumu kuziangalia ki home alone..Msalimie mr
kuna send off na ndoa ya rafik angu nlikua MC yaan hata sikutegemea nlifanya vyema mno ktk hizo sherehe zote 2 toka hapo nkashangaa eti napata tender ya kuwa MC ktk ndoa fulan afu party itafanyika Mliman city, wee mbna nliruka foot mia kidg habari za kuonekana nan anataka,
Nliwaza mie nionekane kwa tv, unakuta ndugu wanaona wee mbna kitaumana hapa, wazazi wanione mie mbna ntaulizwa Dar nlikuja kuwa MC au?
Sema napenda sana kuwa MC mie. But muda bado kdg wa kufanya maamuzi rasmi.
Aliyepo kwenye TV ndiye anayeangalia TV? Anafanya live interview?
Ni the same person. Yaan yuko live kwenye segment flan ya CNN, Sasa kumbe chini kala kinjunga tuHuyo wa kwenye TV anafanana na aliyekaa kwenye kochi![]()

