Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndyo ila acha uongo, mbna yule uliekua nae kule Hyatt juz juz n mweupe?
Au unadhan tumesahau? Hahahah ila mwanaume bhana kutwa black iz beaut, ila wanao kula nao bata n weupe.
Umeona eeh??
Wanatusifia humu,wakati huko wanatuponda na wamefanya wanawake wasijiamini waanze kujichubua.


Mimi cheusi mangala nitapambana na rangi yangu hadi mwisho wa dahari
 
Umeona eeh??
Wanatusifia humu,wakati huko wanatuponda na wamefanya wanawake wasijiamini waanze kujichubua.


Mimi cheusi mangala nitapambana na rangi yangu hadi mwisho wa dahari
yaan mwanaume wanavosifia weusi had unajiuliza hawa wanaochibua wanatafuta nn? Sasa tazama kiundani ndo utajua uhalisia,

Km huyu aliesema kwamba humu hakna pisi kali ila wapo wife material, unadhan sababu nn? Weusi yaan yeye alidhan wapo weupe kakuta tofauti ndo akawa anananga vile,. Wee dafa zangu nyie mlivokua wazuri lol.

Yaan mwanaume kila mwanamke mweupe n mzuri.
 
Byeeeee
giphy.gif
 
Back
Top Bottom