cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,169
Usiku MwemeniView attachment 2053963
Kama mimi ndio kabisa nimeshindikanika kwa utukutu na hakuna anayeweza kunitishaSisi tumeshashindikana![]()



Ngoja aje kesho akulime quiz ndio utamuelewaLect post Jack Daniel's bas,![]()

Ila WIFE MATERIAL FACES zimejazana kila angle, Nahitimisha kwa kusema JF ina wife material wengi sana hakiiiii tena.









Cacha ndio ugonjwa wangu, tatzo swez kuvaa mda mrefu.



Tatizo lenu mnakompuliketi mno mambo. Mimi mdada akiwa na mtako tu basi otomatikale hiyo ni pisi kali. Sasa unaangalia mpaka sura kwani mnakwenda kushiriki Miss World?
View attachment 2053812







ukianza kusuka hela ntatoa mimi... nikumbushwe tuUsiku MwemeniView attachment 2053963
ukiona mdada anaangalia NAT GEO ujue pembeni kakaaa na Husband..hz channel wadada ngumu kuziangalia ki home alone..Msalimie mr
Napenda kutizama hizi vitu mwenyewe,napenda sanaukiona mdada anaangalia NAT GEO ujue pembeni kakaaa na Husband..hz channel wadada ngumu kuziangalia ki home alone..Msalimie mr
mimi ndo nilikuwa mc adi sauti imekauka




kuna send off na ndoa ya rafik angu nlikua MC yaan hata sikutegemea nlifanya vyema mno ktk hizo sherehe zote 2 toka hapo nkashangaa eti napata tender ya kuwa MC ktk ndoa fulan afu party itafanyika Mliman city, wee mbna nliruka foot mia kidg habari za kuonekana nan anataka, 


