Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hii thread imenifanya nijue raia za JF zinaonekanaje,atleast inakufanya uone upo mtandao wenye binadamu.

Japo katika ID 10 nilizokua nikidhani ni Pisi kali za kwenda nimeangukiaa PUA na namshukuru Mungu sikuwahigi hata zipaparikia

Sema JF imejaaa wadada wa kawaida munoooo zile sura za kuweka ndani kama (WIFE) ndio zimejazana..

Sura za kutembea kulia bata zinahesabika walahi tena yakupasa uwe na darubini kuzipata pisi kali..

Ila WIFE MATERIAL FACES zimejazana kila angle, Nahitimisha kwa kusema JF ina wife material wengi sana hakiiiii tena.

Gentlemen jiongezeni wadada wa humu wako na sura personal Mno, its safe to marry them let us Work out ktk hili.. Tupambanie hili Guys.
Tatizo lenu mnakompuliketi mno mambo. Mimi mdada akiwa na mtako tu basi otomatikale hiyo ni pisi kali. Sasa unaangalia mpaka sura kwani mnakwenda kushiriki Miss World?
Screenshot_20211222-122131_Instagram.jpg
 
Kivipi sasa rafiki hio parapanda kiaje????!! Hapana sijanunua mimi mimi nimevikuta pahala sasa tu!!
Nadhani ni madawa ya kuongeza nguvu za kiume yaliyotamalaki kila kona. Na watu wenye tatizo hilo hupita njia za mkato tu na kufakamia haya madawa yanayouzwa kiholela hata bila kujua hasa kiini cha tatizo ni nini. Mara nyingi tatizo hilo, ukiachilia mbali sababu zinazosababishwa na mfumo mbovu wa maisha, linasababishwa na matatizo mengine ya kiafya kama shida za moyo, presha, kisukari n.k. Kupita njia ya mkato tu na kutumia haya madawa kunaweza kuwa na madhara makubwa zaidi kwa mtumiaji kwa sababu kama kiini ni moyo wenye matatizo au presha mtu anaweza kujikuta anazimika na huo ndo mwanzo wa kuimba parapanda...

Ndicho nilichomaanisha best...
 
Nadhani ni madawa ya kuongeza nguvu za kiume yaliyotamalaki kila kona. Na watu wenye tatizo hilo hupita njia za mkato tu na kufakamia haya madawa yanayouzwa kiholela hata bila kujua hasa kiini cha tatizo ni nini. Mara nyingi tatizo hilo, ukiachilia mbali sababu zinazosababishwa na mfumo mbovu wa maisha, linasababishwa na matatizo mengine ya kiafya kama shida za moyo, presha, kisukari n.k. Kupita njia ya mkato tu na kutumia haya madawa kunaweza kuwa na madhara makubwa zaidi kwa mtumiaji kwa sababu kama kiini ni moyo wenye matatizo au presha mtu anaweza kujikuta anazimika na huo ndo mwanzo wa kuimba parapanda...

Ndicho nilichomaanisha best...
Dohh! Asante sana kwa ufafanuzi mkuu!🙏
 
Jirani walikukamatia wapi?

Maana I can imagine vyenye ulitoka mkuku
😂😂😂😂😂😂
Niliwaachia msala wapambane,mimi nikajificha ndani😂
Wao wenyewe walikuwa wanacheka wakiniona.
Tatizo upo mbali baba,ona napata shida😉.


Btw,unajua nataka nini🤗
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Back
Top Bottom