Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi wanaochapiwa ni Wanaume Wanene peke yao? Watu wakishakinaiana hata wote wawe wembamba tupu kama Paul Kagame bado watachapiiana

Njoo ule Mbuzi huku achana na Ubonge nyanya wangu
wee huyo uliye mtaja muache, mkewe anafaidi aseeh, kwa wembamba ule na urefu piaa, aaah afu iwekwe style ya msomali kafia kwenye fiati acha bhana wee,

Kukinaisha kunatokana na huo ubonge jaman wee mzee, sasa mwanaume unakua bonge ili ugundue nn? Kawe kakitambi ka kufutia tecno F1 bas,

Nakuja hivyoo hebu niwekee na kitumoto na maji makubwa ya masafi au kitulo,
 
Hii thread imenifanya nijue raia za JF zinaonekanaje,atleast inakufanya uone upo mtandao wenye binadamu.

Japo katika ID 10 nilizokua nikidhani ni Pisi kali za kwenda nimeangukiaa PUA na namshukuru Mungu sikuwahigi hata zipaparikia

Sema JF imejaaa wadada wa kawaida munoooo zile sura za kuweka ndani kama (WIFE) ndio zimejazana..

Sura za kutembea kulia bata zinahesabika walahi tena yakupasa uwe na darubini kuzipata pisi kali..

Ila WIFE MATERIAL FACES zimejazana kila angle, Nahitimisha kwa kusema JF ina wife material wengi sana hakiiiii tena.

Gentlemen jiongezeni wadada wa humu wako na sura personal Mno, its safe to marry them let us Work out ktk hili.. Tupambanie hili Guys.
kheeeeeeh makubwa haya tena lol.
 
sasa wee hutaki kubadilisha mtindo?
Siyo kwa zile nywele za kukaa masaa yote zinasukwa tu.


Halafu mimi nina phobia na kubadilisha mitindo.
Kipindi nasoma chuo nilikuwa nasuka nywele za aina moja tu!
Sasa kuna watu wakawa wanauliza mbona nywele zako hazifumuki na hazichakai miaka yote,,kumbe mwenzao zikichoka naenda tena kusuka kama zile zile na fundi yule yule.

Kipindi nimeenda graduu yule fundi aliniwahi akasema leo hanisuki nywele ninazosukaga
Alikataa kata kata ,akasema yupo tayari hata kuninunulia weave jingine bure.
 
FB_IMG_16401982046425394~2.jpg
 
Back
Top Bottom