Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siyo kwa zile nywele za kukaa masaa yote zinasukwa tu.


Halafu mimi nina phobia na kubadilisha mitindo.
Kipindi nasoma chuo nilikuwa nasuka nywele za aina moja tu!
Sasa kuna watu wakawa wanauliza mbona nywele zako hazifumuki na hazichakai miaka yote,,kumbe mwenzao zikichoka naenda tena kusuka kama zile zile na fundi yule yule.

Kipindi nimeenda graduu yule fundi aliniwahi akasema leo hanisuki nywele ninazosukaga
Alikataa kata kata ,akasema yupo tayari hata kuninunulia weave jingine bure.
Ali kukomesha kabisa. Khaaaah
 
IMG-20211222-WA0032.jpg
 
Ngoja aje kesho akulime quiz ndio utamuelewa
Jan mchan nimepishan na lect af moyo ukaniwazia ni huyo, iv unajua nilitoka mbio? Tulikua wa3 tunapiga story yaan wenzangu wakawa wanacheka,

Narud palee naulizwa wee ulikua unakimbia nn, sina jibu nipo tyuuh, wenzangu wananambiaje yaan huna hata aman ujanja wote huu,

Nilivotulia sasa wacha nicheke peke angu, nkajisemea mwenyew ntakuja kufa kwa pressure ukute hata nayemkimbia Co yeye wala hata hanijui, yaan kuhisi kubaya sana.

Afu nkasema ntakuja kukusimulia wee hapo, nlishasahau hapa ndo umenikumbusha, yaan unavozid kunipa hofu utaniua bhana cc lol
 
Back
Top Bottom