Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dogo aliokota paka hukoo akaja nae nyumbani.
Usiku nimejilalia sina habari, nastuka Kuna kitu kilainiii pembeni yangu ndani ya blanketi halafu kinakoroma. Hapo nimelala mwenyewe, hali iliyonipata ningekuwa na pressure ningekufa. Hadi nakuja kugundua ni paka nilikuwa nasweat kwa hofu.
Yani kama nakuona vile ulivokua kwenye hiyo purukushani na paka maskini....
 
Dogo aliokota paka hukoo akaja nae nyumbani.
Usiku nimejilalia sina habari, nastuka Kuna kitu kilainiii pembeni yangu ndani ya blanketi halafu kinakoroma. Hapo nimelala mwenyewe, hali iliyonipata ningekuwa na pressure ningekufa. Hadi nakuja kugundua ni paka nilikuwa nasweat kwa hofu.
Huyo nyau alikuwa mimi.. Huo ndio uchawi sasa
 
Hapana mimi ninachojua ni kwamba binadamu ni mtu yeyote yule maana yake ni kwamba anaweza kuwa mwanaume au mwanamke na ndiyo maana nikakurekebisha ile kauli yako sasa wewe unayesema kwamba binadamu ni mwanaume tu ndiyo uniambie mwanamke ni nani
Hapa tutajikuta tunarudi katika vitabu. Ila MUNGU aliumba Mtu, kwa mfano wake, yaani Mwanaume na mwanamke (Adam / Eva).
 
Ah ah ah
1570380029823.jpeg
 
Ukifatilia vema utaona kuw sipo katka hoja yako.

Au tufanye hivi, wew hiyo sentensi umeielewaje?
Ulisema binadamu ndiyo tunamiliki hii ardhi mimi nikakurekebisha nikakuambia ungesema wanaume ndiyo mnamiliki hii ardhi maana ukisema binadamu hata wanawake nao ni binadamu lakini hawamiliki hii ardhi so you could've been specific
 
Back
Top Bottom