😂😂😂Subiri nikakeshe kilingeni
Yani kama nakuona vile ulivokua kwenye hiyo purukushani na paka maskini....Dogo aliokota paka hukoo akaja nae nyumbani.
Usiku nimejilalia sina habari, nastuka Kuna kitu kilainiii pembeni yangu ndani ya blanketi halafu kinakoroma. Hapo nimelala mwenyewe, hali iliyonipata ningekuwa na pressure ningekufa. Hadi nakuja kugundua ni paka nilikuwa nasweat kwa hofu.
Huyo nyau alikuwa mimi.. Huo ndio uchawi sasaDogo aliokota paka hukoo akaja nae nyumbani.
Usiku nimejilalia sina habari, nastuka Kuna kitu kilainiii pembeni yangu ndani ya blanketi halafu kinakoroma. Hapo nimelala mwenyewe, hali iliyonipata ningekuwa na pressure ningekufa. Hadi nakuja kugundua ni paka nilikuwa nasweat kwa hofu.

Hapa tutajikuta tunarudi katika vitabu. Ila MUNGU aliumba Mtu, kwa mfano wake, yaani Mwanaume na mwanamke (Adam / Eva).Hapana mimi ninachojua ni kwamba binadamu ni mtu yeyote yule maana yake ni kwamba anaweza kuwa mwanaume au mwanamke na ndiyo maana nikakurekebisha ile kauli yako sasa wewe unayesema kwamba binadamu ni mwanaume tu ndiyo uniambie mwanamke ni nani
Naona umerudi pale pale kwenye point yangu sasaHapa tutajikuta tunarudi katika vitabu. Ila MUNGU aliumba Mtu, kwa mfano wake, yaani Mwanaume na mwanamke (Adam / Eva).
Hahaha half time
Ukifatilia vema utaona kuw sipo katka hoja yako.Naona umerudi pale pale kwenye point yangu sasa
Ulisema binadamu ndiyo tunamiliki hii ardhi mimi nikakurekebisha nikakuambia ungesema wanaume ndiyo mnamiliki hii ardhi maana ukisema binadamu hata wanawake nao ni binadamu lakini hawamiliki hii ardhi so you could've been specificUkifatilia vema utaona kuw sipo katka hoja yako.
Au tufanye hivi, wew hiyo sentensi umeielewaje?
Naahidi nitakuwa mwaminifu katika hili
Wewe wasema.Just incase umesahau, kulingana na maandiko, binadamu ndio tuna miliki ardhi hiii.
Nipo kwenye banda la mama Hashim karibu... Unavyoingia tu kulia
Mkuu nisamehe tukutane next week nlipata dharura nikakimbianiko gogoni tayari nisubiri tafadhali