Ambatanisha na picha yakona mimi wacha nipost soda hakuna namnaView attachment 1225020
Watabadili mabucha nyama ni ile ileYa 2... naona wamebadili labelView attachment 1225021
HandsTusio kua na wknd mikono juuView attachment 1225030

Hahah...mawazo yako yameenda mbali sana ujue...baada ya kusoma comment yako ikabidi nipihe rivasi kuirudia picha husika




mimi alikuja akaiqoute kwenye picha niliyoziba sura







Dogo aliokota paka hukoo akaja nae nyumbani.
Usiku nimejilalia sina habari, nastuka Kuna kitu kilainiii pembeni yangu ndani ya blanketi halafu kinakoroma. Hapo nimelala mwenyewe, hali iliyonipata ningekuwa na pressure ningekufa. Hadi nakuja kugundua ni paka nilikuwa nasweat kwa hofu.
Wewe hujaamua tuu bana, namba zangu unazo ungefowadi tuu KwanguUngekuwa karibu na nilipo, mug moja ya Fanta ingekuhusu...
Na wanaume ndio mna huo upuuzi, sijui mna shida gani
Sasa uzwazwa wa kwenda kuchukua picha ya mtu uje uipost humu ili?
Watabadili mabucha nyama ni ile ile
Wachawi hatufanyi hivyo... Tukitaka chochote cha yoyote hatusubiri kukipata mitandaoni.. Tuna namna zetu.....Kaka zetu wakiwa wamelogin JF sijui akili zao wanaachaga wapi.
Sasa mtu unapost picha ya mwenzio ili upate faida gani kama sio uchawi?
Shhhhhhhhhhh! Usicheke sana kumbe sio pichu.
Ila kwake hicho kitambaa cha ndani kinaonekana kuliko wenzake kwasababu ana bambataaa si mchezo.
Ila ni mchezaji mzuri sana na ni msumbufu huko uwanjani hauwezi kuamini kama ni yeye![]()



yeah nampata yuko vizuri sana, nimeona huyo kaka aliposema eti siyo pichu ni kitambaa chenye matundu madogo kinachozuia michubuko nikajisemea duuh sasa mbona wachezaji wengine hawavai au ndiyo kinavaliwa na hao wenye bambataa tu.Sakayo ndio kigori.Paka kigori!?![]()
MmmhhhSakayo ndio kigori.
Sijui wanapatwaga na niniKaka zetu wakiwa wamelogin JF sijui akili zao wanaachaga wapi.
Sasa mtu unapost picha ya mwenzio ili upate faida gani kama sio uchawi?


Uchawi tuuu maana mchawi siyo lazima apae na nyungo usikuKaka zetu wakiwa wamelogin JF sijui akili zao wanaachaga wapi.
Sasa mtu unapost picha ya mwenzio ili upate faida gani kama sio uchawi?