Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapo amejiboost na pombe
Basi mechi itakuwa kali kama wanacheza liver na man city vile
cc mie sitaki ujue, yaan nacheka km chizi hapa, muache lect apunguze ukame, maana asipofanya hivyo atakua na hasira mda wote, na kupelekea kuwakata marks wanafunzi wake.
 
Kimalila ni kinyiha,tofauti yake ni maeneo tu..
Ni kama kindali cha undali na kile cha ulambya.


Mkoa ulikuwa mkubwa mno ndiyo maana japo kule tukuyu tupo pamoja.
Hawaoni mikoa kama Morogoro jamani? Wangetuachia Mbeya yetu na Songwe ingeendelea kuwa wilaya tu, maana wamefanya hadi airport mpya kijiografia iwepo Songwe na Mbeya hatuna airport, wakati ile airport ilitakiwa iwepo Mbeya!
 
Hawaoni mikoa kama Morogoro jamani? Wangetuachia Mbeya yetu na Songwe ingeendelea kuwa wilaya tu, maana wamefanya hadi airport mpya kijiografia iwepo Songwe na Mbeya hatuna airport, wakati ile airport ilitakiwa iwepo Mbeya!

Walivuruga sana mpangilio wetu.
Walituonea sana watu wa ileje..
Sasa hivi mkoa wa Songwe hata haueleweki.


Kwanza wandali walianza kugoma kugawanywa huu mkoa,
Wakasema wao wanachojua wapo mbeya

Kipindi hicho hawajaweka bado ofisi Mbozi,watu walikuwa wanaenda chunya


Hizi ni fedheha sana.
 
Sio wakarimu so I'll be splitting tomorrow. Naenda zangu Njombe nikaone nao wanasemaje for a day or two then narudi zangu DarSlum!
Dooh basi uliokutana nao siyo wanyakyusa maana Mbeya mjini pana mchanganyiko wa makabila mengi kama Dar tu! Kwahiyo wewe huendi kuhesabiwa?
 
Back
Top Bottom