Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Ushawishi wa nje umekuwa mkubwa kuliko wa ndani 🙂😏 so....sidhani kama ntaenda. Nadhani ntaomba kutumiwa picha tu 😁Dooh basi uliokutana nao siyo wanyakyusa maana Mbeya mjini pana mchanganyiko wa makabila mengi kama Dar tu! Kwahiyo wewe huendi kuhesabiwa?






so....sidhani kama ntaenda. Nadhani ntaomba kutumiwa picha tu
