Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Lizzy tunakukabidhi kwa homeboy wetu huyuNipo mbona available na chuma iko full tank 24hrs Kama ambulance

Lizzy tunakukabidhi kwa homeboy wetu huyuNipo mbona available na chuma iko full tank 24hrs Kama ambulance

AbeeeeeeHuyu ndio shemeji yangu Heaven Sent au
Basi tenaAh
Bando lilinipoteza hewani
Ngoja niachane napo tu..kulala na msosi mzuri ndo kila kituVyumba ni vya kawaida sana kama ni mpenzi wa kulala mahali pazuri, hapakufai ila mazingira yanavutia.
Changamoto nyingine ni chakula si kizuri na huduma kwa mteja pia haiko vizuri sana

Hahaaa yaani sijui tu kwanini walitutenganisha Mbeya na Songwe. Na utashangaa wasafwa wanaelewana na wamalila.Yaani siyo kuingiliana tu!,inafanana maneno yote kasoro pronounciation tu.
Mikoa yetu ilivyo na lugha nzuri,,yaani mndali na mnyakyusa wanaongea na wanaelewana pasi na matatizo.
Na kule ileje mndali na mnyiha wanaelewana vizuri...
Halafu kinyiha nacho ni kisafwa kilichochangamka.
Kimalila ni kinyiha,tofauti yake ni maeneo tu..Hahaaa yaani sijui tu kwanini walitutenganisha Mbeya na Songwe. Na utashangaa wasafwa wanaelewana na wamalila.
Naomba moja
Hahaaa halafu nimekumbuka Shimba Ya Buyenze aliwahi kunitumia pdf ya kamusi ya kinyakyusa ila nilishaipoteza. SYB kama bado unayo ile kamusi naomba utusaidie tafadhali.Saint Anne alifanya hadi nikanunua daftari ili aanze kunifundisha hiko Kinyaki lakini over suddenly akasema eti Ada ya Udahili imepanda
Bora tu unifundishe wewe hata kama kitakuwa cha kuombea Maji kitanifaa tu![]()
Yeah tumejitahidi sana! Vipi una mpango wa kutembelea na wilaya nyingine nje ya Mbeya mjini?Ongezeni basi hata nyingine ya tatu
On a serious note though....ni pazuri kuliko nilivyotarajia!
Wameninunulia waliipamba sana kwa maelezo yao hadi nikatamani kuonja.Waambie tukutane kijitonyama…