Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

My current location leo niko na smirnoff ice…

IMG_2320.jpg
 
Yaani siyo kuingiliana tu!,inafanana maneno yote kasoro pronounciation tu.

Mikoa yetu ilivyo na lugha nzuri,,yaani mndali na mnyakyusa wanaongea na wanaelewana pasi na matatizo.

Na kule ileje mndali na mnyiha wanaelewana vizuri...
Halafu kinyiha nacho ni kisafwa kilichochangamka.
Hahaaa yaani sijui tu kwanini walitutenganisha Mbeya na Songwe. Na utashangaa wasafwa wanaelewana na wamalila.
 
Hahaaa yaani sijui tu kwanini walitutenganisha Mbeya na Songwe. Na utashangaa wasafwa wanaelewana na wamalila.
Kimalila ni kinyiha,tofauti yake ni maeneo tu..
Ni kama kindali cha undali na kile cha ulambya.


Mkoa ulikuwa mkubwa mno ndiyo maana japo kule tukuyu tupo pamoja.
 
Saint Anne alifanya hadi nikanunua daftari ili aanze kunifundisha hiko Kinyaki lakini over suddenly akasema eti Ada ya Udahili imepanda

Bora tu unifundishe wewe hata kama kitakuwa cha kuombea Maji kitanifaa tu
Hahaaa halafu nimekumbuka Shimba Ya Buyenze aliwahi kunitumia pdf ya kamusi ya kinyakyusa ila nilishaipoteza. SYB kama bado unayo ile kamusi naomba utusaidie tafadhali.
 
Back
Top Bottom