sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Nimeona kitu ya smine off black ice. Roho imeenda mbio
Nimeona kitu ya smine off black ice. Roho imeenda mbio
Naona ulikuwa half timeTupo 5 star hotel moja hapa mjini


Hahaaa yaani kwanza hata sijui wametumia kigezo gani maana mkoa mzima mji ulioendelea ni Tunduma na angalau huko Mbozi! Ila hizo wilaya nyingine ni majanga tu barabara tu ni mbovu halafu ndiyo wamepewa airport ya kimataifa!
Walivuruga sana mpangilio wetu.
Walituonea sana watu wa ileje..
Sasa hivi mkoa wa Songwe hata haueleweki.
Kwanza wandali walianza kugoma kugawanywa huu mkoa,
Wakasema wao wanachojua wapo mbeya
Kipindi hicho hawajaweka bado ofisi Mbozi,watu walikuwa wanaenda chunya
Hizi ni fedheha sana.
Kumbe uko vizuri


Mbozi pale hamna kitu.Hahaaa yaani kwanza hata sijui wametumia kigezo gani maana mkoa mzima mji ulioendelea ni Tunduma na angalau huko Mbozi! Ila hizo wilaya nyingine ni majanga tu barabara tu ni mbovu halafu ndiyo wamepewa airport ya kimataifa!
Tatizo hata sio ubichi, Bei ya kiongilio ni 15K/7$ mimi nilijichanganya nikaingia kwenye ratiba inayoonyesha muvi Hii kwa format ya Imax 3D/Hologram. Sasa ili uangalie muvi katika mfumo huu lazima uwe na miwani maalumi Unless utaona mawenge. Miwani wanauza 10K..So jumla 25K imelala, ila inauma maana after 2Months muvi unaweza kuipakua kwa bando la buku. Btw Pesa kitu gani bwana..Lazima upigwe parefu mzee maana movie bado mbichi hizo![]()
Nimeona kitu ya smine off black ice. Roho imeenda mbio
PhD in Nyakyusa languageMwee mwee mwee![]()
Akija kesho ni kuwagawia tu marks hapo coet![]()





kwani yupo Coet? Usinirushe roho plz. Big up....!
Akija muangalie vizurikwani yupo Coet? Usinirushe roho plz.
Yaan j3 wanafunzi watashangaa lect anashusha desaz full ku enjoy,

Kumbe uko vizuri
Aiseee ningejaribu kuonja huu moto ningezimia![]()















Chibongeee




Akija muangalie vizuri![]()






wee utanifanya nihame huu uzi wallah, usinambie, hebu njoo PM nieleze kitu,Teh na eti ndiyo wameweka Mbozi kama makao makuu ya mkoa wa Songwe! Hiyo stand yake tu ya mkoa inasikitisha na inazidiwa hata na stand ndogo za daladala za Dar na imepewa hadhi ya mkoa na kuna wakuu wa mkoa na wilaya kabisa!Mbozi pale hamna kitu.
Huu mgawanyo ifike mahala ufutwe tu.
Ileje siku hizi wametandaza mkeka angalau kunapitika.
Siku za nyuma barabara ilikuwa haipitiki.