Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Walivuruga sana mpangilio wetu.
Walituonea sana watu wa ileje..
Sasa hivi mkoa wa Songwe hata haueleweki.


Kwanza wandali walianza kugoma kugawanywa huu mkoa,
Wakasema wao wanachojua wapo mbeya

Kipindi hicho hawajaweka bado ofisi Mbozi,watu walikuwa wanaenda chunya


Hizi ni fedheha sana.
Hahaaa yaani kwanza hata sijui wametumia kigezo gani maana mkoa mzima mji ulioendelea ni Tunduma na angalau huko Mbozi! Ila hizo wilaya nyingine ni majanga tu barabara tu ni mbovu halafu ndiyo wamepewa airport ya kimataifa!
 
Hahaaa yaani kwanza hata sijui wametumia kigezo gani maana mkoa mzima mji ulioendelea ni Tunduma na angalau huko Mbozi! Ila hizo wilaya nyingine ni majanga tu barabara tu ni mbovu halafu ndiyo wamepewa airport ya kimataifa!
Mbozi pale hamna kitu.
Huu mgawanyo ifike mahala ufutwe tu.


Ileje siku hizi wametandaza mkeka angalau kunapitika.
Siku za nyuma barabara ilikuwa haipitiki.
 
IMG20211211114825.jpg

Easy Saturday ✌️

Don't drink and drive
 
Lazima upigwe parefu mzee maana movie bado mbichi hizo
Tatizo hata sio ubichi, Bei ya kiongilio ni 15K/7$ mimi nilijichanganya nikaingia kwenye ratiba inayoonyesha muvi Hii kwa format ya Imax 3D/Hologram. Sasa ili uangalie muvi katika mfumo huu lazima uwe na miwani maalumi Unless utaona mawenge. Miwani wanauza 10K..So jumla 25K imelala, ila inauma maana after 2Months muvi unaweza kuipakua kwa bando la buku. Btw Pesa kitu gani bwana..
 
Mbozi pale hamna kitu.
Huu mgawanyo ifike mahala ufutwe tu.


Ileje siku hizi wametandaza mkeka angalau kunapitika.
Siku za nyuma barabara ilikuwa haipitiki.
Teh na eti ndiyo wameweka Mbozi kama makao makuu ya mkoa wa Songwe! Hiyo stand yake tu ya mkoa inasikitisha na inazidiwa hata na stand ndogo za daladala za Dar na imepewa hadhi ya mkoa na kuna wakuu wa mkoa na wilaya kabisa!
 
Back
Top Bottom