Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,514
- 235,219
Kumekucha[emoji23][emoji23][emoji23]
Utuletee na feedback ya kitanda baada ya mechi.
Kumekucha[emoji23][emoji23][emoji23]
Happy holidays...[emoji38]Kumekucha[emoji23][emoji23][emoji23]
Utuletee na feedback ya kitanda baada ya mechi.
Daah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan basi memes zinavyozagaa huko mitandaon had Co poaa, tatzo hizo gwanda zenu mkivaa mnatisha bhana,
Mtoto wa kaka akimuonaga cc (shangazi yake) amevaa hata boots tyuuh, atatimua mbio huyo km ameona kitu cha ajabu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana kijanaHappy holidays...[emoji38]
Nakuja
Nimeiona hiyo picha nikakumbuka the six infinity stones
Cc Da'Vinci
We kwenye sector hiyo nakuaminia movie hata iwe na siku moja cinemas we tayari ushaipata [emoji109][emoji109]
Mwee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lilian Mbawala,huyu kidampa anaweza kunitania hata wakati nahutubia "wee shikwambi acha uongo mbwa wee" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au anaweza kuja ikulu tuanze kupiga umbea lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2048869
We si unataka kuchezea pombe😅
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We si unataka kuchezea pombe[emoji28]
Dah billdrago unazinguaHajatuma codes mpaka saa hizi??[emoji849][emoji849] Anazingua tu!
Kwahio ushaulizia na bei kabisa kumbe😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si mniletee nionje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona mwamba amenitafuta,tayari kwa kuniletea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii hata nikiichezea roho haitamuuma sana maana si ghali kama ile Amarula,alitupa hela yake bure.
[emoji23][emoji23][emoji23] nipo makiniSafi sana kijana
Changamsha damu[emoji1787]
Jitahidi usije rudi nyumbani na lipstick shavuni.
Sio wakarimu so I'll be splitting tomorrow. Naenda zangu Njombe nikaone nao wanasemaje for a day or two then narudi zangu DarSlum!Yeah tumejitahidi sana! Vipi una mpango wa kutembelea na wilaya nyingine nje ya Mbeya mjini?
Mliandika wenyewe mbona .Kwahio ushaulizia na bei kabisa kumbe[emoji28]
Maana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] nipo makini
Hapana huyu ndio yeye mwenyewe bana[emoji23]Maana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkeo akiona hii atalia sana.
Ila wanawake tuna moyo!
Hapo unarudi mwenyewe umechoooka,anakuandalia na chakula ..
Kumbe umetoka kushinda mechi zako huko Dah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kazi imeanza [emoji28]
A wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana huyu ndio yeye mwenyewe bana[emoji23]