Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kumekucha



Utuletee na feedback ya kitanda baada ya mechi.
Kumekucha



Happy holidays...Kumekucha
Utuletee na feedback ya kitanda baada ya mechi.

Daahyaan basi memes zinavyozagaa huko mitandaon had Co poaa, tatzo hizo gwanda zenu mkivaa mnatisha bhana,
Mtoto wa kaka akimuonaga cc (shangazi yake) amevaa hata boots tyuuh, atatimua mbio huyo km ameona kitu cha ajabu.![]()




Safi sana kijanaHappy holidays...![]()

Nakuja
Nimeiona hiyo picha nikakumbuka the six infinity stones
Cc Da'Vinci
We kwenye sector hiyo nakuaminia movie hata iwe na siku moja cinemas we tayari ushaipata![]()
MweeLilian Mbawala,huyu kidampa anaweza kunitania hata wakati nahutubia "wee shikwambi acha uongo mbwa wee"
Au anaweza kuja ikulu tuanze kupiga umbea lol,View attachment 2048869




We si unataka kuchezea pombe😅
We si unataka kuchezea pombe![]()












Dah billdrago unazinguaHajatuma codes mpaka saa hizi??Anazingua tu!
Kwahio ushaulizia na bei kabisa kumbe😅
Sasa si mniletee nionje
Naona mwamba amenitafuta,tayari kwa kuniletea
Hii hata nikiichezea roho haitamuuma sana maana si ghali kama ile Amarula,alitupa hela yake bure.
Safi sana kijana
Changamsha damu
Jitahidi usije rudi nyumbani na lipstick shavuni.


nipo makiniSio wakarimu so I'll be splitting tomorrow. Naenda zangu Njombe nikaone nao wanasemaje for a day or two then narudi zangu DarSlum!Yeah tumejitahidi sana! Vipi una mpango wa kutembelea na wilaya nyingine nje ya Mbeya mjini?
Mliandika wenyewe mbona .Kwahio ushaulizia na bei kabisa kumbe![]()
Maananipo makini









Hapana huyu ndio yeye mwenyewe banaMaana
Mkeo akiona hii atalia sana.
Ila wanawake tuna moyo!
Hapo unarudi mwenyewe umechoooka,anakuandalia na chakula ..
Kumbe umetoka kushinda mechi zako huko Dah!![]()
