Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni mbele kidogo ya Nashera; unaingia kushoto, kabla hujafika kwenye kile kidaraja cha Nguzo, utaona mabango. Au unaingilia Morogoro hotel, then unakunja kulia, ukivuka tu daraja la Nguzo, ushafika.

Kutembea napo ni wito; mimi angalau kuna matukio huwa yananilazimu kutembea, otherwise mmmh
Ooh Asante . ..
Nimekaa Morogoro hata Bigwa sijafika
Na hapo Nguzo camp ni wapi ?
 
Ahsante sana mzee wa busara, ubarikiwe mno tena mno, na unisamehe nilipokukwaza.

Unapokua ktk hasira au adha yeyote usiyo sawa, unatamka chochote tyuuh. Lakini sio kwamba ni kweli au uhalisia, japo lolote linaweza kutokea, hakuna ajuaye kesho, maana God anaweza kupanga niishi umri mrefu, ila mie mwenyewe nikaamua kumpinga kwa kujichukulia hatua mkononi (sitamani itokee hivyo).

Maisha matamu bhana,
.
 

Asante kwa maelezo haya .
Kweli kabisa kutembea inahitaji moyo otherwise huendi popote .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…