Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20211217-201709_Instagram.jpg
 
Bwana mdogo wewe;

Siku ile ulitoa kauli ya hovyo kuwa eti kwa jinsi unavyoandamwa na walimwengu hutegemei kuishi maisha marefu. Sikuipenda kauli hiyo na niliikemea hapo hapo. Na leo nakwenda kinyume na kauli hiyo tena; na natamka hadharani hapa kwamba katika jina la Yesu Aliye Hai utaishi maisha marefu mpaka uone watoto, wajukuu na vilembwe vyako.

Furahia birthday yako kwa amani na Mungu Akusimamie na kukuongoza daima.

Amen
Amen
I like this one
 
Back
Top Bottom