Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha...Bhageshi kama kula huwa nakula sana kwa kweli ila mwili kuongezeka huwa naongezeka kidogo mno

Au nikioa naweza kunenepa[emoji3]

Kwema lakini bhageshi
Huku salama bageshi. Ukioa li Yutong utanenepa tu utake usitake. Ila ukioa kakimbaumbau kenzio ndiyo wote mtazidi kukondeana tu yaani dah!
 
[emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211217-201709_Instagram.jpg
 
Bwana mdogo wewe;

Siku ile ulitoa kauli ya hovyo kuwa eti kwa jinsi unavyoandamwa na walimwengu hutegemei kuishi maisha marefu. Sikuipenda kauli hiyo na niliikemea hapo hapo. Na leo nakwenda kinyume na kauli hiyo tena; na natamka hadharani hapa kwamba katika jina la Yesu Aliye Hai utaishi maisha marefu mpaka uone watoto, wajukuu na vilembwe vyako.

Furahia birthday yako kwa amani na Mungu Akusimamie na kukuongoza daima.

Amen [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Amen [emoji120][emoji120]
I like this one
 
Back
Top Bottom