Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Duh mbaliNjoo masaki, ukiwa njiani niambie nikuelekeze nilipo

Hali kuja kufika ni asubuhi

Duh mbaliNjoo masaki, ukiwa njiani niambie nikuelekeze nilipo


Upo mbeya?Duh mbali
Hali kuja kufika ni asubuhi![]()
Rudisha majeshi kwa Mtakatifu, atakusaidia nyakati za shida kama hizi 😜😜Mapenzi ya mbali ni magumu sana!..mtoto yupo Atown



Mh! Sorry tutakutana huku huku mitaani kwetu! Nawajua hao!!


unaogopa,wala usiogope
Nipo Mbezi hapa.Upo mbeya?
Hiyo barabara ya Chunya mkuu au
Weka hata picha za Nguzo Camp roho zitulie kha!
Tulidumu kwa mwaka mzima,mimi nikiwa greencity.Rudisha majeshi kwa Mtakatifu, atakusaidia nyakati za shida kama hizi![]()
Huku salama bageshi. Ukioa li Yutong utanenepa tu utake usitake. Ila ukioa kakimbaumbau kenzio ndiyo wote mtazidi kukondeana tu yaani dah!Hahahaha...Bhageshi kama kula huwa nakula sana kwa kweli ila mwili kuongezeka huwa naongezeka kidogo mno
Au nikioa naweza kunenepa
Kwema lakini bhageshi
Hapo uber dk 30 nyingi, wachaga wamesharudi kwao hamna foleniNipo Mbezi hapa.
Kama ni mzurulaji basi jua Ni suala la muda tu.Namshukuru MUNGU hii hali haijanipata,raia inawachangamsha kiukweli
,ukute wiki yako ya pili ni kesho.Nichangie nauliHapo uber dk 30 nyingi, wachaga wamesharudi kwao hamna foleni

Nadhani shida yao kubwa ni kwenye kupiga vyombo. Hawako compatibleRudisha majeshi kwa Mtakatifu, atakusaidia nyakati za shida kama hizi![]()


AmenBwana mdogo wewe;
Siku ile ulitoa kauli ya hovyo kuwa eti kwa jinsi unavyoandamwa na walimwengu hutegemei kuishi maisha marefu. Sikuipenda kauli hiyo na niliikemea hapo hapo. Na leo nakwenda kinyume na kauli hiyo tena; na natamka hadharani hapa kwamba katika jina la Yesu Aliye Hai utaishi maisha marefu mpaka uone watoto, wajukuu na vilembwe vyako.
Furahia birthday yako kwa amani na Mungu Akusimamie na kukuongoza daima.
Amen![]()


We chukua uber ikifika hapa nilipo nalipaNichangie nauli![]()
Sasa upo naye Kijiji kimoja anakwama wapi kijana wetu?Tulidumu kwa mwaka mzima,mimi nikiwa greencity.
Nitakuja kesho mkuuWe chukua uber ikifika hapa nilipo nalipa







