Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Huo unaleta raha kumtafutia shem wangu usingiziNauonaga mgumu tu mimi .
Asante hata hivyo .
Huo unaleta raha kumtafutia shem wangu usingiziNauonaga mgumu tu mimi .
Asante hata hivyo .
Ooh Asante .Mimi nimezipenda kucha zako!
Wifi kidawa kwa kono lile nono unakula sembe kweli? Sio dona?![]()
aise niko mwembamba ni vile camera inadanganyaKuna kaka mmoja alinishauri kuwa ukitaka kucha zikuwe inabidi uzichonge hivi , hapo zinakuwa ndefu bila kukatika hivyo.
Ahsante sana, ila -1 kwenye hiyo numberNahisi ni 22 hivihongera
Kadogo sana![]()




Ooh kumbe hata sijui mie .Huo unaleta raha kumtafutia shem wangu usingizi
Aaaah nimeona kuwa ni njia ya bigwa, vipi unafika had bigwa sisters sec au?Hapana. Highlands-Moro town
Ahsante sana, ila -1 kwenye hiyo number
Mkubwa bhana wee mlongo, usinidogoshe plz.


mwenzio natamani nipunguze miaka

Mimi nampenda sana huyo TAAKweli duniani tunatofautiana, mbona hanishitui hata? Au ndio nimeozeana kwa Shemeji yako sijui unamuitaje?![]()
Mmmmmmmh kono kama upaja!aise niko mwembamba ni vile camera inadanganya
Karibu tuipige sembe.Nimefall in love na huo ugali
Napenda sembe jamani
Basi anza kumchokoza nao shemeji utuletee mrejeshoOoh kumbe hata sijui mie .
mwenzio natamani nipunguze miaka
Kama vile ningekuwa na 15 hivi![]()



iv unajua nataman miaka mingi au kuonekana mkubwa, bas nna mdogo angu yey ana 19, yko 1St yr this time, bas kanizidi umbo na urefu kdg, anaamkiwa yeye mie siamkiwi. Nachukiaga na kukasirika mno. 



Mmmmmmmh kono kama upaja!
ngoja nipige tena kwa simu nyingine hebuA wapiWee mtakatifu mpe ex wetu connection hiyo![]()
Vipi mfanye fanye bas niwe MC wa harusi,Mimi nampenda sana huyo TAA
Yaani nampenda mno,,,na uchotara wake ndio unanimaliza kabisa.





Ooh sawa ngoja nijaribuBasi anza kumchokoza nao shemeji utuletee mrejesho

Nakuja, tunapiga sembe huku tukimjadili ex wetuKaribu tuipige sembe.
Karibu sana.

Wifi bwana! Unamchuuza Kaka wa watu. Mtoni kwa Azizi Ali na Mbagala Kizuiani ndio maeneo yangu ya kujidai






😁 Wewe hupendagi " Tall, Dark and Handsome" kama wadada wengi?Mimi nampenda sana huyo TAA
Yaani nampenda mno,,,na uchotara wake ndio unanimaliza kabisa.